Asili ya majina ya maeneo mkoani Manyara

Asili ya majina ya maeneo mkoani Manyara

panaitwa A'anagwa siyo Hanang hiyo ni jina huo mlima kwa sisi wenyeji, Qatesh siyo Katesh hili ni jina la sehemu yaani wilaya
 
Hii nimeeileta baada ya kufikwa na mafuriko maeneo ya Hanang, katesh Manyara

Kwenye mitandao ya kijamii wengi kwenye comment wakisikia jina Hanang au katesh, wanauliza ni wapi wakidhani mafuriko yametokea china au Japan, kutokana na majina ya eneo husika, wengi hawajui kama ni Tanzania.

Nimejaribu kuangalia majina ya maeneo ya mkoa WA manyara kweli yanashangaza, ni tofauti kabisa na maeneo mengi Tanzania, yanafanana na majina ya nchi za nnje.

Pia nilitaka kujua mkoa WA Manyara mbona hautajwi kama ni mkubwa hapa nchini? Wakati ukiangalia ni mkubwa sana, ukiwa Hedaru Same, Kilimanjaro unaweza kwenda Simanjiro kiurahisi ni karibu sana, Ukiwa Arusha ndio pua na mdogo, ukiwa Singida napo ni jirani sana.

Baadhi ya majina ya maeneo ya mkoa WA Manyara:

*Hanang
*Gitting
*Katesh
*Maghang
*Loiborsoit
*Muslur
*Getanuwas
*Haydom
*Murkuchida
*Datlaa
*Bargish
*Kainam
*Terat
*Waang'waray
*Orkesumet
*Hoshan
*Dareda
*Dongobesh

Na mengine mengi.

NB: kule Kuna watu wanaitwa wa Iraq na wambulu wanawake wao ni pisi Kali balaa
Ukifuatilia historia ya Wairaqw utawaona Warangi wanaingia na wenzao wa Uganda. Siku moja nikipata muda nitaeleza hii historia yao vizuri.

Ni jamii iliyosafiri hadi kufikia hayo maeneo na kuamua kukita makazi. Ila wale wa Uganda ndiyo wameshika sana matukio ya asili yao ya walikotoka.

Nitaeleza.

Ova
 
Dongobesh,

Hata lugha yao ngumu sana, pole kwa janga lililowapata kila nikivuta picha ya katesh mlima hanang nasisimka na haya nayosoma humu ni km nakumbuka pote nilipopita katika harakati za kimaisha ni juzi tu nilikuwa huko laiti tungejua haya tungehamisha watu wote, ila yote kwa yote wapumzike mahali pema,[emoji24][emoji24][emoji24]
Hata mm nasisimka Sana nikipakumbuka eneo Hilo kuazia mlima ule mrefu Kama umetoka singida

Hao jamaaa tumefanya nao biashara ya kuuziana nguruweee Ni watu POA mno

Wanapenda Sana kusafiri kwenda Arusha

Wenyeji was mjii huo Ni wakatoliki karibia wote
 
Hata mm nasisimka Sana nikipakumbuka eneo Hilo kuazia mlima ule mrefu Kama umetoka singida

Hao jamaaa tumefanya nao biashara ya kuuziana nguruweee Ni watu POA mno

Wanapenda Sana kusafiri kwenda Arusha

Wenyeji was mjii huo Ni wakatoliki karibia wote
Walutheri na wakatoliki ndio wengi huko,

Nikiwaza tope la kutokea mlimani na kufunika katesh yote sipati picha hicho kifusi ni tani zenye uzito wake ni mamilioni, wataalamu wakadirie uzito wa hicho kifusi kilichoporomoka tuipate hali halisi
 
Wairaq wanatiana sio wanaume sio wanawake sema wanaroho moja mbaya akikuchukia hana msamaha aisee....
Sema kuna warangi na wasandawe wa kondoa wako kama wasomali....
Wameru nao nawafananisha na wanyarwanda kabisa....

sema wameru na wachagga wa machame ni wale wale kila kitu wako sawa.

Katesh kuna sehemu wanaita matapta...😅
 
Back
Top Bottom