Asili ya majina ya maeneo mkoani Manyara

Asili ya majina ya maeneo mkoani Manyara

Kuna jamii ya watu kama wairaq huko Ethiopia/Eritrea. That explains something.
 
Hii nimeeileta baada ya kufikwa na mafuriko maeneo ya Hanang, katesh Manyara

Kwenye mitandao ya kijamii wengi kwenye comment wakisikia jina Hanang au katesh, wanauliza ni wapi wakidhani mafuriko yametokea china au Japan, kutokana na majina ya eneo husika, wengi hawajui kama ni Tanzania.

Nimejaribu kuangalia majina ya maeneo ya mkoa WA manyara kweli yanashangaza, ni tofauti kabisa na maeneo mengi Tanzania, yanafanana na majina ya nchi za nnje.

Pia nilitaka kujua mkoa WA Manyara mbona hautajwi kama ni mkubwa hapa nchini? Wakati ukiangalia ni mkubwa sana, ukiwa Hedaru Same, Kilimanjaro unaweza kwenda Simanjiro kiurahisi ni karibu sana, Ukiwa Arusha ndio pua na mdogo, ukiwa Singida napo ni jirani sana.

Baadhi ya majina ya maeneo ya mkoa WA Manyara:

*Hanang
*Gitting
*Katesh
*Maghang
*Loiborsoit
*Muslur
*Getanuwas
*Haydom
*Murkuchida
*Datlaa
*Bargish
*Kainam
*Terat
*Waang'waray
*Orkesumet
*Hoshan
*Dareda
*Dongobesh

Na mengine mengi.

NB: kule Kuna watu wanaitwa wa Iraq na wambulu wanawake wao ni pisi Kali balaa
yan hapo kwenye NB ndo umeandika point
 
Siku moja nilienda Mbulu dukani nilikutana na demu mkali mzuri kama mkorea vile kafunga mtoto mgongoni na anaongea kimbulu kidogo niombe namba ila nikakumbuka kwenye kile kikao chetu huwa tunaonywa sana.
 
Siku moja nilienda Mbulu dukani nilikutana na demu mkali mzuri kama mkorea vile kafunga mtoto mgongoni na anaongea kimbulu kidogo niombe namba ila nikakumbuka kwenye kile kikao chetu huwa tunaonywa sana.
Unapiga unasepa tu
 
Wanyaturu na wambulu ni cushtic kiasili.
Sema wanyaturu wamechanganyika zaidi kwa kiasi kikubwa na makabila ya kibantu kupelekea kupoteza DNA yao ya asili kwa kiasi kikubwa, lakini dialectically Nyaturu people bado inaingiliana na moja ya makabila kule Ethiopia yenye asili ya Kushi.
Hivyo tu kwa uchache!
Kweli kabisa, Ethiopia/Eritrea
 
Back
Top Bottom