Asili ya majina ya maeneo mkoani Manyara

Asili ya majina ya maeneo mkoani Manyara

Hii nimeeileta baada ya kufikwa na mafuriko maeneo ya Hanang, katesh Manyara

Kwenye mitandao ya kijamii wengi kwenye comment wakisikia jina Hanang au katesh, wanauliza ni wapi wakidhani mafuriko yametokea china au Japan, kutokana na majina ya eneo husika, wengi hawajui kama ni Tanzania.

Nimejaribu kuangalia majina ya maeneo ya mkoa WA manyara kweli yanashangaza, ni tofauti kabisa na maeneo mengi Tanzania, yanafanana na majina ya nchi za nnje.

Pia nilitaka kujua mkoa WA Manyara mbona hautajwi kama ni mkubwa hapa nchini? Wakati ukiangalia ni mkubwa sana, ukiwa Hedaru Same, Kilimanjaro unaweza kwenda Simanjiro kiurahisi ni karibu sana, Ukiwa Arusha ndio pua na mdogo, ukiwa Singida napo ni jirani sana.

Baadhi ya majina ya maeneo ya mkoa WA Manyara:

*Hanang
*Gitting
*Katesh
*Maghang
*Loiborsoit
*Muslur
*Getanuwas
*Haydom
*Murkuchida
*Datlaa
*Bargish
*Kainam
*Terat
*Waang'waray
*Orkesumet
*Hoshan
*Dareda
*Dongobesh

Na mengine mengi.

NB: kule Kuna watu wanaitwa wa Iraq na wambulu wanawake wao ni pisi Kali balaa
Wamburu ndio wairaki kaka.
Na hiyo iraki imetokana na IRAQWU asili ya kiethiopia CAPRICORN.
Hata hayo majina yana asili ya misamiati ya semitic cushitic language.
Wameitwa wamburu kwasababu ya kuloweya milima ya mburu ila hao ndugu zao na Abiy Ahmed.
 
Hizi ni chuki tu kwa kua nia wazuri basi watu wanasema ni malaya je ww ulishawahi kulala nao wangapi? Mbona mm naishi uchaggani lkn wanawake ni malaya balaa hta mke wa mtu analiwa kirahisi tu umalaya ni tabia ya mtu acheni chuki zenu kwa kua nyie mna sura za sokwe
Ukiona HIV iko low basi ni wazi umalaya pia ni kidogo the rest is misconception
 
Hizi ni chuki tu kwa kua nia wazuri basi watu wanasema ni malaya je ww ulishawahi kulala nao wangapi? Mbona mm naishi uchaggani lkn wanawake ni malaya balaa hta mke wa mtu analiwa kirahisi tu umalaya ni tabia ya mtu acheni chuki zenu kwa kua nyie mna sura za sokwe
Kwa hio hao wambulu wa huko uchagani wanapigwa sana miti?
 
Hizi ni chuki tu kwa kua nia wazuri basi watu wanasema ni malaya je ww ulishawahi kulala nao wangapi? Mbona mm naishi uchaggani lkn wanawake ni malaya balaa hta mke wa mtu analiwa kirahisi tu umalaya ni tabia ya mtu acheni chuki zenu kwa kua nyie mna sura za sokwe
Hata mie nashangaa.
Sasa hivi ubaya hauna kwao umalaya,ulawiti ,ushoga ni hurka ya mtu sio kabila tena.
Japo warangi nimewavulia kofia.
 
Back
Top Bottom