LURIGA
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 2,515
- 3,928
Wameru ni wachagga waliochangamka
Usiwe mbishi basi uwe unasoma vitabu usibishe kama uko kwenye kijiwe cha kahwa.Siyo kweli. Wanyaturu ni Wabantu. Siyo Wakushi.
Pia hakuna Wambulu. Mbulu ni jina la eneo kama ilivyo Bukoba. Ila Kuna Wairaqw ambao ni Wakushi (Cushites).
Wote wamojaAu ndio wamewaambukiza warangi?😀😀
Pia kuna Mourjandah,Moulbadow,Kidagamound,GawalHii nimeeileta baada ya kufikwa na mafuriko maeneo ya Hanang, katesh Manyara
Kwenye mitandao ya kijamii wengi kwenye comment wakisikia jina Hanang au katesh, wanauliza ni wapi wakidhani mafuriko yametokea china au Japan, kutokana na majina ya eneo husika, wengi hawajui kama ni Tanzania.
Nimejaribu kuangalia majina ya maeneo ya mkoa WA manyara kweli yanashangaza, ni tofauti kabisa na maeneo mengi Tanzania, yanafanana na majina ya nchi za nnje.
Pia nilitaka kujua mkoa WA Manyara mbona hautajwi kama ni mkubwa hapa nchini? Wakati ukiangalia ni mkubwa sana, ukiwa Hedaru Same, Kilimanjaro unaweza kwenda Simanjiro kiurahisi ni karibu sana, Ukiwa Arusha ndio pua na mdogo, ukiwa Singida napo ni jirani sana.
Baadhi ya majina ya maeneo ya mkoa WA Manyara:
*Hanang
*Gitting
*Katesh
*Maghang
*Loiborsoit
*Muslur
*Getanuwas
*Haydom
*Murkuchida
*Datlaa
*Bargish
*Kainam
*Terat
*Waang'waray
*Orkesumet
*Hoshan
*Dareda
*Dongobesh
Na mengine mengi.
NB: kule Kuna watu wanaitwa wa Iraq na wambulu wanawake wao ni pisi Kali balaa
Sina ninachofahamu kuhusu originality ya hayo majina mtumishi, najua tu kuwa they're very beautiful and kind people kiukweli..!!
tsii,tsereAta majina ya watu ni balaa,
Tlatla
Axweso
Girigwan'gwaay
Kwendoo.
Garan
Tluway
Bura
Amsii
Nsiii
Libambay
Utamkwajiwake ni tofauti na uandishi kuna vikonyo na kumezea maneno sna .
Kwa walio wakristo kuna majina kama
Mathayo
Paulo
Martha
Monica
Paski
Romana
Donatila
Paskali
Rafael
😁tsii,tsere
Huko mzee kisonono ni kugusa tu, ila HIV rate yao ni ndogo sana ,ila kisonono ni hatariendakiso,endagwe,endanachan ,Dabil,endamaqhay naon mkiwasema sana ndugu zangu hawa kuwa maji mara moja ooh sijui ukimpa buku 5 anashukuru kiukweli hiyo ni asili huwezi kuibadili ni kama vile wangoni asili yao ni kupenda kufanya mapenzi sanaa
Aisee nilipiga mmoja mtoto wa kiraqwi akakolea mpk kafukuzwa kwao.Wanaitwa "wairaqwi" sio "wairaq"
Endasaboqechand
Ni kweli hawa wamasai, wahadzabe, wambulu, na hawa wairaqw huwa tunawaita waitiks sio jamii ya wabantu hata ongea yao ni tofauti kabisaWazawa wa Arusha na manyara si wabantu; wairaqw(wambulu), wamaasai, wahadzabe, wote sio wabantu, lugha zao ni za tofauti sana ndo maana unaona wana maneno ya ajabu
Wameru tu ndo wabantu
Ni Qatesh siyo Katesh. Katesh imekuja baada ya wakuja kushindwa kutamka ipasavyo.Aisee nilipiga mmoja mtoto wa kiraqwi akakolea mpk kafukuzwa kwao.
Ni litoto la kiarabu kabisa,laini km yai.
Wakamrudisha kijijini maana nilikua na mke nae alikua mchimvi balaa.
Waliona ndugu yao atadhurika.
Wakasafirisha utamu wangu kwenda katesh.
Iraqw ndo haohao wambulu mbona?!Ni kweli hawa wamasai, wahadzabe, wambulu, na hawa wairaqw huwa tunawaita waitiks sio jamii ya wabantu hata ongea yao ni tofauti kabisa