Asanteni kwa ushauri wenu, naomba pia mnipokee

Asanteni kwa ushauri wenu, naomba pia mnipokee

criaz dia, kwnn una doubts? nmekusamehe coz nshayajua matatzo yako! lol, na mm nna wac wac ww ni msajili wa vizazi n vifo(my apologize 4 having doubts )

matatizo yepi tena Mango g?,no siko RITA ningekuwa huko si ningekua najua kabisa umri wako na nisingekua na doubts kabisa!
 
kipi hujapenda dia? nsamehe na asante

tofautisha matumizi ya x na s. kwenye s usiweke x mfano, hizo ni lugha za vijana ambao elimu zao hazijawasaidia.

umefk mahai abapo watu wanaongea kwa logic.. BADILIKA
 
tofautisha matumizi ya x na s. Kwenye s usiweke x mfano, hizo ni lugha za vijana ambao elimu zao hazijawasaidia.

Umefk mahai abapo watu wanaongea kwa logic.. Badilika

so sory...! Hta mm naongea kwa logic tena saaana tu, af cjawahi kutumia x kwenye s dia! Nioneshe labda. Naomba utengue kauli yako kwmba hujapenda uandishi wng eti nibadilike...! Lolest
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom