habari za jpili! wana jamvi asanteni sana kwa ushauri mlionipa jana niliomba ushauri kuhusu rafiki 2liepotezana baada ya kumtafuta akawa ka hanijui, ushauri wenu umenisaidia sana na nmejifunza vi2 vingi. kingine mm ni mgeni hapa jf! naombeni mnipokee, naamini ntajifunza vingi. mm ni msichana wadau niko below 20! nawapenda saaaana asanteni!
hahahaaha cko likizo dia! csomi primary wala secondary!
mm ni msichana wadau niko below 20! nawapenda saaaana asanteni!
hahahaaha cko likizo dia! csomi primary wala secondary!
Akili yako iwe na chujio mdogo wangu, humu ni vurugu mechi, usishangae kukuta watu wakihamasisha ngono kinyume na maumbile, mahusiano ya jinsia moja, kuwekwa kimada, ...
Siku zote "za kupewa na mbayuwayu, changanya na zako", "shake well before use".
Akili yako iwe na chujio mdogo wangu, humu ni vurugu mechi, usishangae kukuta watu wakihamasisha ngono kinyume na maumbile, mahusiano ya jinsia moja, kuwekwa kimada, ...
Siku zote "za kupewa na mbayuwayu, changanya na zako", "shake well before use".
asante diha mwaya!
naomba nieleweke kwamba cjasema csomi ila nmesema csom primary wala sekondari. yan nmeshapita hzo levo