Mimi ni mwanachama mpya, naomba mnipokee

Mimi ni mwanachama mpya, naomba mnipokee

Sikupokei , kafie mbali.
20260529_055227.jpg
 
Ungeelezea kabisa wewe umebobea katika profesheno ipi ili tukukabidhi kwenye idara yenu uwakute wenzio kabisa

Kuna chama la akina mbaga, chama la karanga na infop, chama la min, chama la binti wa zamani, leo dada na kenzy, n.k

Idara zipo nyingi mkuu, we sema tu uko upande upi.
Habari wana JamiiForums, mimi ni mwananchama mpya naomba mnipokee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom