Lady doctor
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 8,756
- 7,005
Last edited by a moderator:
Uko chuo gani mpenzi nikupitie nikupe visenti vya chipsi kuku... ofkoz, kabla ya ukaguzi.
so sory...! Hta mm naongea kwa logic tena saaana tu, af cjawahi kutumia x kwenye s dia! Nioneshe labda. Naomba utengue kauli yako kwmba hujapenda uandishi wng eti nibadilike...! Lolest
cjadanganya umri budie! cna 7bu ya kufanya ivo.
sasa mtoto mzuri, usiwe unawanyooshea kidole watu wazima unapokuwa unaongea, sawa?
unapoambiwa, badilika, tafuta kosa lilipo ulifanyie kazi ili uendane na jamii inayoongea na wewe! umenielewa?
ila kama umeamua kuishi utakavyo, basi nimerudisha mikono mfukoni mwangu, nimenawa!
ndio diha! ucope sawa ee, na ukiwa na shda ya swag ntafute2......!
Nasubiri foleni ipungue pm kwako na me nije huko.
Karibu sana JF...
Babuuuuuuuuu, naona wataka kulea lolUmeshakaguliwa? Hebu kam zis wei, without.
Karibu sana, jisikie upo nyumbani
jaman mpnz mbna hakuna 4leni karibu sana karibu
karibu best mwaya