Asanteni kwa ushauri wenu, naomba pia mnipokee

Asanteni kwa ushauri wenu, naomba pia mnipokee

hii below20 imegusa wengi hadi co vzuri yan! cjajua y au cstahili kua hapa?
 
habari za jpili! wana jamvi asanteni sana kwa ushauri mlionipa jana niliomba ushauri kuhusu rafiki 2liepotezana baada ya kumtafuta akawa ka hanijui, ushauri wenu umenisaidia sana na nmejifunza vi2 vingi. kingine mm ni mgeni hapa jf! naombeni mnipokee, naamini ntajifunza vingi. mm ni msichana wadau niko below 20! nawapenda saaaana asanteni!

nimeona watu wanakuita mpenzi na mimi cjawahi sema hilo neno,ngoja ni test zali.
karibu sana mpenzi jisikie upo nyumbani dia.
nimependa jina lako la mango
 
nimeona watu wanakuita mpenzi na mimi cjawahi sema hilo neno,ngoja ni test zali.
karibu sana mpenzi jisikie upo nyumbani dia.
nimependa jina lako la mango

mh ucpende kugeza wa2 mpnz wng sawa ee! asante sana diha. asante kwa kupenda jna langu pia.... lol
 
Hapa tunachafuliana majina tu. Ebu ona tunavyoflow vizuri hapo juu...

Kwani uongo? Najua kuwa kwenye zipu zenu kuna Iziraili mtoa roho. Ikifunguka tu lazma Iziraili afanye kazi yake. So muhurumieni huyo m mama anayewadanganya kuwa ye ni anda twenti. Akijiua mtamsaidia kumlea mwanaye?
Cc Asprin, Mtambuzi, KakaKiiza, Vindiesel
 
Last edited by a moderator:
Kwani uongo? Najua kuwa kwenye zipu zenu kuna Iziraili mtoa roho. Ikifunguka tu lazma Iziraili afanye kazi yake. So muhurumieni huyo m mama anayewadanganya kuwa ye ni anda twenti. Akijiua mtamsaidia kumlea mwanaye?
Cc Asprin, Mtambuzi, KakaKiiza, Vindiesel
mmh nshakua m mama! haya m mama mwenzangu
 
Last edited by a moderator:
Kwani uongo? Najua kuwa kwenye zipu zenu kuna Iziraili mtoa roho. Ikifunguka tu lazma Iziraili afanye kazi yake. So muhurumieni huyo m mama anayewadanganya kuwa ye ni anda twenti. Akijiua mtamsaidia kumlea mwanaye?
Cc Asprin, Mtambuzi, KakaKiiza, Vindiesel

hahahahahaaaa yaani nimecheka kwa loudspeaker Looh!!!!!!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom