Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,064
- 22,757
Mimi pia si Chadema ila namshukuru Jenerali Ulimwengu kwa kusema niliyotaka kuyasema, ni wakati muafaka sasa madaraka yawe mikononi mwa wananchi wenyewe pale pale walipo Kitaifa, Kimkoa, Kiwilaya, Kitarafa na Kimtaa!
Jukumu hilo linaweza kusimamiwa tu na chama imara ambacho kaulimbiu yake ni people's power kilicho tayari kutanguliza maslahi ya nchi na si maslahi ya chama kama CCM...sisi wananchi na si sisi wanachama. Pateni hii burudani kwanza!
Jukumu hilo linaweza kusimamiwa tu na chama imara ambacho kaulimbiu yake ni people's power kilicho tayari kutanguliza maslahi ya nchi na si maslahi ya chama kama CCM...sisi wananchi na si sisi wanachama. Pateni hii burudani kwanza!