Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,626
- 86,326
kuandaa mazingira ya uchaguzi mkuu maybeAlafu kuna Baadhi ya Panya humu JF, kila siku ni kufungua thread, "Za anaupiga mwingi"
Lucas mwashambwa kwani hao wasomali mlikuwa mnawapeleka wapi?,
kuandaa mazingira ya uchaguzi mkuu maybeAlafu kuna Baadhi ya Panya humu JF, kila siku ni kufungua thread, "Za anaupiga mwingi"
Lucas mwashambwa kwani hao wasomali mlikuwa mnawapeleka wapi?,
Sawa Kada mtiifuAnajitafuta..hongera sana.
Dunia ni uwanja wa mapambano.
Ukikaa kizembe mafanikio utayasikia tu.
Pesa haiji kizembe zembe
Ajali kazini
Huyo ni kada, na gari atarudishiwa mmiliki.
🤣🤣🤣Ngoja tusaidiane kucheka, hahahahaaaaaa 😂😂😂
akiwa ni chadema katumia hiyo bendera?Sawa Kada mtiifu
Hii gari ni ya mjumbe wa mkutano mkuu taifa wa CCM, mtu wa kawaida hawezi kununua hili shangingiNimesoma nikacheka, kinachonichekesha ni kwa namna mwandishi wa Ayo alivyowakwepesha CCM kwenye hii taarifa. Mara nyingi sana tumesema hii hulka ya CCM kuficha na kushabikia haya mambo na wamekua wakikataa. Waliwahi kumkataa hata yule shujaa aliyeuwawa na Polisi kuwa hakua Mjumbe wa CCM, yule waliyempachika jina la gaidi.
leo hii kakamatwa Mwana CCM akiwa tena na gari ya 2023 akiwa amebeba vipusa (wahamiaji haramu) kama kawaida, taarifa imekua twisted. CCM hebu jirekebisheni.
watu kama hawa ndio kutwa kuchwa wanasifia "Mama anaupiga mwingi" ili kuficha maovu yao...... hili lingetokea kwa CHADEMA lingeripotiwaje?
View attachment 2943998
Unajidanganyaa wee.Una uhakika gani i kama ni mwanachama wa CCM
Bendera inafungwa kwenye gari ya kiongozi wa CCM tu tena mkubwa sio kada yaani huyo kazi anayo guu
Gari inaondoka hiyo
Sheria inatamka wazi ukihifadhi wahamiaji haramu hata kwenye nyumba yako.Nyumba inataifishwa
CCM ni majangili tupuCCM kumejaa wahuni
• Hayo ni madili tu, Kama ya kule mbeyakuandaa mazingira ya uchaguzi mkuu maybe
Upo sahihi sn mkuuUkiwa CCM hakuna KESI itafutwa na Wasomali wataendelea na safari kwa Gari hilo hilo na Bendera hiyo hiyo ikipepea
Wamechomeana CCM kwa CCM• Hayo ni madili tu, Kama ya kule mbeya
• Kama ingekuwa project ya uchaguzi, hiyo gari isingekamatwa.
Kabisa, either kuna mwana FISI EMU amezulumiwa chake, akaona isiwe tabu...Wamechomeana CCM kwa CCM
Balaa mi sinipo hapa Arusha, inalipa sn sema sahivi wasomali hawasumbuliwi sababu ya makamu wetu na yule WaziriKabisa, either kuna mwana FISI EMU amezulumiwa chake, akaona isiwe tabu...
Mkuu, Yawezekana hii biashara ina hela sana 🤔🤔 ??
Kila kichwa ni dola 1000Mi nawaza hela tu Mwamba alizo zikosa. hapo sijui kila kichwa alikuwa anakula sh ngapi!
Hawa ni waethiopia not wasomaliHao ni ndg wa Kinana!
Kwa hiyo ni CCM walioletwa nchini kujazia kura 2024
ETHIOPIA/SOMALIANimesoma nikacheka, kinachonichekesha ni kwa namna mwandishi wa Ayo alivyowakwepesha CCM kwenye hii taarifa. Mara nyingi sana tumesema hii hulka ya CCM kuficha na kushabikia haya mambo na wamekua wakikataa. Waliwahi kumkataa hata yule shujaa aliyeuwawa na Polisi kuwa hakua Mjumbe wa CCM, yule waliyempachika jina la gaidi.
leo hii kakamatwa Mwana CCM akiwa tena na gari ya 2023 akiwa amebeba vipusa (wahamiaji haramu) kama kawaida, taarifa imekua twisted. CCM hebu jirekebisheni.
watu kama hawa ndio kutwa kuchwa wanasifia "Mama anaupiga mwingi" ili kuficha maovu yao...... hili lingetokea kwa CHADEMA lingeripotiwaje?
View attachment 2943998