Kwann chadema na isiwe labda Waziri fulan ,
IMG-20240325-WA0000.jpg
 
Huyo ni kada, na gari atarudishiwa mmiliki.

Una uhakika gani i kama ni mwanachama wa CCM

Bendera inafungwa kwenye gari ya kiongozi wa CCM tu tena mkubwa sio kada yaani huyo kazi anayo guu
Gari inaondoka hiyo

Sheria inatamka wazi ukihifadhi wahamiaji haramu hata kwenye nyumba yako.Nyumba inataifishwa
 
Nimesoma nikacheka, kinachonichekesha ni kwa namna mwandishi wa Ayo alivyowakwepesha CCM kwenye hii taarifa. Mara nyingi sana tumesema hii hulka ya CCM kuficha na kushabikia haya mambo na wamekua wakikataa. Waliwahi kumkataa hata yule shujaa aliyeuwawa na Polisi kuwa hakua Mjumbe wa CCM, yule waliyempachika jina la gaidi.

leo hii kakamatwa Mwana CCM akiwa tena na gari ya 2023 akiwa amebeba vipusa (wahamiaji haramu) kama kawaida, taarifa imekua twisted. CCM hebu jirekebisheni.

watu kama hawa ndio kutwa kuchwa wanasifia "Mama anaupiga mwingi" ili kuficha maovu yao...... hili lingetokea kwa CHADEMA lingeripotiwaje?

View attachment 2943998
Hii gari ni ya mjumbe wa mkutano mkuu taifa wa CCM, mtu wa kawaida hawezi kununua hili shangingi
 
Una uhakika gani i kama ni mwanachama wa CCM

Bendera inafungwa kwenye gari ya kiongozi wa CCM tu tena mkubwa sio kada yaani huyo kazi anayo guu
Gari inaondoka hiyo

Sheria inatamka wazi ukihifadhi wahamiaji haramu hata kwenye nyumba yako.Nyumba inataifishwa
Unajidanganyaa wee.
 
Nimesoma nikacheka, kinachonichekesha ni kwa namna mwandishi wa Ayo alivyowakwepesha CCM kwenye hii taarifa. Mara nyingi sana tumesema hii hulka ya CCM kuficha na kushabikia haya mambo na wamekua wakikataa. Waliwahi kumkataa hata yule shujaa aliyeuwawa na Polisi kuwa hakua Mjumbe wa CCM, yule waliyempachika jina la gaidi.

leo hii kakamatwa Mwana CCM akiwa tena na gari ya 2023 akiwa amebeba vipusa (wahamiaji haramu) kama kawaida, taarifa imekua twisted. CCM hebu jirekebisheni.

watu kama hawa ndio kutwa kuchwa wanasifia "Mama anaupiga mwingi" ili kuficha maovu yao...... hili lingetokea kwa CHADEMA lingeripotiwaje?

View attachment 2943998
ETHIOPIA/SOMALIA
 
Back
Top Bottom