Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 8,848
- 15,252
- Thread starter
- #101
Arusha hata miaka 50 ijayo haiwezi fikia Nairobi, wala huwezi shindanisha Dar na Nairobi.Arusha ipo over rated sana.
Lakini pia serikali imefeli kabisa kuujenga huu mji.
Ilipaswa kabisa uweze kutoa ushindani na jiji la Nairobi.
Lakini umebakia kuwa jiji la hovyo,hata ukipita pale East Africa Hq, AICC ile barabara inatia aibu.
Ndio maana leo google,microsoft na int offices nyingi zinawekwa nairobi.