Kirchhoff
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,343
- 7,558
Kuna Shamba La Marehemu Mathias Manga hapa Terrat Barabara ya Maweni eneo maarufu la Mapambazuko linafaa Kwa Stendi Kubwa Sana, Shule na Hospital. Naonalinamegwa megwa Kwa viwanja 10x10 ni hasara Kwa kweli. Serikali Ingelinunua lingekuwa Stendi ya Daladala Gari za Moromboo, Njiro na Uswahilini.