Teh teh ๐, jamaniSi ununue lako mkuu
Hilo basi la mifugo na binadamu
Mapachichi, Karanga, Ndizi Mwisho Coca Cola Ama Pepsi Mkubwa WaoAbiria wameshaanza kula mayai ya kuchemsha,mahindi ya kuchemsha,maharage,e.t.c?
Neno moja naloweza kuwaambia ndugu abiria ni kwamba "MTAFURAHI"Mapachichi, Karanga, Ndizi Mwisho Coca Cola Ama Pepsi Mkubwa Wao
Hapo Sasa Ni Kivumbi Na Jasho, Maji Utaita Mmaa ๐๐๐๐ ๐
Haa๐๐๐ ๐๐๐๐๐Neno moja naloweza kuwaambia ndugu abiria ni kwamba "MTAFURAHI"
Mkuu hivi ni yale ma-Harambee ya enzi na enzi au ni kampuni mpya imeamua kuita mabasi hivyo? Ile kampuni ya zamani bado inandelea?Hapo wamekupiga ila vumilia hilo hata elfu 18 unapanda, Utafika Dar saa tano usiku leo. Pole sana. Hilo basi nilipandaga miaka 20 iliyopita
Basi za wananchi hawaachi MTU njiani na kwenye kula amna kuarakishana mpaka upaliwe na chakula.Kuna nyingine saibaba ila hayo mabasi yanasaidia kma umepata dharura na mfuko huna hela mana hata kwa 12 utaenda
Hahaha acha kabisa arriving time ni saa 6 usiku hivyo lazima mda uzingatiwe hamna kuwahi kabla ya hapoBasi za wananchi hawaachi MTU njiani na kwenye kula amna kuarakishana mpaka upaliwe na chakula.
Vumilia kikubwa kufika salama. siku nyingine jaribu kuwa makini mkuu, usikubali kupigwa kizembe namna hiyo bhanaKweli leo nimepatikana
Inategemea na msimu. Kama ni mwezi wa 12 hata Saibaba utalipa elfu 30. Ila kama ni msimu wa abiria wachache unaweza kulipa hata elfu 10 elfu tano ukamalizia ukifika Dar...ha ha haKuna nyingine saibaba ila hayo mabasi yanasaidia kma umepata dharura na mfuko huna hela mana hata kwa 12 utaenda
Ni yale yale ya zamani, nahisi yamebaki mawili tu au moja ka sikosei,.Mkuu hivi ni yale ma-Harambee ya enzi na enzi au ni kampuni mpya imeamua kuita mabasi hivyo? Ile kampuni ya zamani bado inandelea?
Haaaaa Haaaaa ๐, sio. Kwa madongo hayoHzo basi sio za type yako mzee ndio maana ukapigwa kulingana na ulivyo ulivyo,kule nyuma wanawekwa wa elf12,15,18 wewe ulitakiwa upewe siti za mbele sema umewahi kupanda kwenye body ukifikir upo airport.
Hizi chuma zinaokoa sana mkuu kuna siku nlipandia ubungo saa8 mchana tukafika ar saa8usiku kwangu la mhimu ni kuwepo ar12 asubuhi,acha ziwepo tuBasi za wananchi hawaachi MTU njiani na kwenye kula amna kuarakishana mpaka upaliwe na chakula.
Sema akiamunguHilo basi kuna siku tulipakiwa na mbuzi.
Zile chuma zidumu milele mkuu wenye Mambo mengi zimetusaidia sana,kuna saibaba inatokeaga karatu sijui Kama bado ipogo,ikifika Arusha inakaa mpaka saa5:30 ndio linaondoka,sasa Mimi najikatia zangu tiket mapema naenda kwenye mishe zangu nacheza na mda tu.Haaaaa Haaaaa , sio. Kwa madongo hayo