Arusha to Dar kwa basi la harambee ni kama azabu

Arusha to Dar kwa basi la harambee ni kama azabu

Alagwa

Member
Joined
May 30, 2012
Posts
97
Reaction score
89
Leo nimechelewa kidogo kukwaajili ya safari ya arusha dar nimekuta basi la harambee stendi ya arusha yani huduma, basi lenyewe na utaratibu ni mbovu sana.
Image abiria wanaanza kuingia kwenye gari ndio wanawekwa siti za nyuma alafu wanaokuja kwa kuchelewa ndio siti za kati na mbele mhhh alafu gari ni 3 by 2 nauli wanataka 25,000/=
Ivi nauli elekezi kwa basi kama hili la 3 by 2 ni bei gani
 
Leo nimechelewa kidogo kukwaajili ya safari ya arusha dar nimekuta basi la harambee stendi ya arusha yani huduma, basi lenyewe na utaratibu ni mbovu sana.
Image abiria wanaanza kuingia kwenye gari ndio wanawekwa siti za nyuma alafu wanaokuja kwa kuchelewa ndio siti za kati na mbele mhhh alafu gari ni 3 by 2 nauli wanataka 25,000/=
Ivi nauli elekezi kwa basi kama hili la 3 by 2 ni bei gani
Mkuu si kulikuwa na magari mengine.ungepanda hayo.kama ulichelewa basi hiyo ni adhabu ya kulala sana ugenini
 
Umeingia kichwa kichwa, hilo bus sio la abiria kama wewe mliokosa KLM express hilo ni letu 'wadau' hata ukiwa na elfu 15 unafika Dar. Elfu 25 umepigwa
Kweli leo nimepatikana
 
Umeingia kichwa kichwa, hilo bus sio la abiria kama wewe mliokosa KLM express hilo ni letu 'wadau' hata ukiwa na elfu 15 unafika Dar. Elfu 25 umepigwa
mkuu klm 15?
 
kwanza kupandia gari stendi ni uzamani watu sikuhizi wanapandia gari kwenye ofisi za gari husika..
 
Leo nimechelewa kidogo kukwaajili ya safari ya arusha dar nimekuta basi la harambee stendi ya arusha yani huduma, basi lenyewe na utaratibu ni mbovu sana.
Image abiria wanaanza kuingia kwenye gari ndio wanawekwa siti za nyuma alafu wanaokuja kwa kuchelewa ndio siti za kati na mbele mhhh alafu gari ni 3 by 2 nauli wanataka 25,000/=
Ivi nauli elekezi kwa basi kama hili la 3 by 2 ni bei gani
Mkuu AZABU ni nini?
 
Back
Top Bottom