mbna mawasiliann ya zitto yalipowekwa hadharani hukusema haya? Ben tuache hzi double standards,hazitusaidii chochote.
Nonsense . I.D.I.O.T.S MAY CONTINUE DISCUSSING THIS.
Anachozungumza Ben si kwenye hii ishu tu- gutter politics ni pamoja na hizo ulizotaja! Kuna haja ya wamiliki wa tovuti, wavuti kuwa makini na chini ya sheria wanasababisha madhara makubwa sana kwenye afya ya miili na akili za watu! Ni sawa na kuwalisha watu madawa/vyakula vyenye sumu!mbna mawasiliann ya zitto yalipowekwa hadharani hukusema haya? Ben tuache hzi double standards,hazitusaidii chochote.
Zinamuonesha KAMANDA WA VITA akifanyiwa usodoma.
Muandaaji wa anaweza kudhani kuwa anamdhalilisha Lema, lakini asilojua ni kuwa ameidhilisha Tanzania, kama Taifa. A cilivilised nation haliwezi kujikita kwenye mijadala ya kinyama kama anavyotaka huyo muundaji wa picha.
Ni jambo la kujutiwa (regrettable) kwamba ustaarab wa Tanzania unapotea kwa kasi ya kutisha. Tumeshindwa kushindana kwa hoja sasa tumeamua kujikita kwenye siasa za kinyama. Shamefu!
Hii mbaya sana. Pamoja na masuala ya Siasa kwa kweli this is too much! Just imagine, mwanao wa miaka saba,Mke wako na Mama Mkwe wako apate picha hizi, hii mbaya sana!
mie natamani kuziona hizo picha
ndio kazi ya zile simu za january makamba!
duhh, ucngizzzz ulikuwa mzito, kapige mswaki kwanza!!!!hizo picha zinahusu nini.
Isikute mh kweli amevunwa ,maana Arusha hakutabiri kabisa.
Kinara wa usambazaji hizo picha facebook ni Mtela Mwampamba.. Ninayo screen shot ya wall Mtela akiwaameitundika hiyo picha kwenye mtandao.
Kama sijakosea kisheria ni kosa kusambaza picha za utupu atakama siyo mtengenezi wa picha usika.
Hii mbaya sana. Pamoja na masuala ya Siasa kwa kweli this is too much! Just imagine, mwanao wa miaka saba,Mke wako na Mama Mkwe wako apate picha hizi, hii mbaya sana!
Mbona unanishambulia nimesema tu kuwa ninazo tangu mwaka jana lakini kutokana na heshima na sheria za nchi sijaziweka kwenye mitandao....Uwe na heshima kwa Rais wako huo si ustaaarabu hata kidogo hata Mungu hapendi, nalaani kabisa kitendo hiki kwako na wote waliotuma picha feki za Mhe. Lema
Sasa mwanamke kama Flora Lyimo anabakwa kweli?