Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,550
- 3,092
Hizo picha zinahusu nini.
Ben Saanane atakuwa anafahamu ngoja alete majibu
Hizo picha zinahusu nini.
Very sad. Hivi haiwezekani kutrack source ili hatua za kisheria zichukuliwe? Picha za ajabu atumiwe mama mzazi hadi wakwe?
ninazo hizo picha pm namba yako wats up nikurushie.
kama unapenda umbea
Mpaka kesho Rais Kikwete watu wanamchafua nenda facebook wanatumiana picha kama hizo lakini rais Kikwete anawapuuza tu hakuna adhabu kubwa kama kumpuuza mjinga.Picha kama hiyo ilitengenezwa kwa Jakaya Kikwete mwanzoni mwa kipindi chake cha urais. Sote tunajua reaction ya dola ilivyokuwa na namna mamilioni ya walipa kodi yalivyotumika kuwasaka walioipost mitandaoni. Ilivyoletwa hapa nakumbuka wengi walilamba BAN za maisha.
Sasa imerudi kwa Lema, TCRA wamefumba macho, ngoja iwekwe ya Bilal akimtafuna Kikwete ndipo watatia akili...
Kitendo cha TCRA kukaa kimya ni kosa kubwa na siasa hizi chafu hazitaishia hapo.Tutaona
Mimi binafsi pamoja kuwa napigana na Lema pamoja na CHADEMA lakini kitendo alichofanyiwa Lema siyo cha kiungwana, hii tabia imeishazoeleka mitandaoni kuchafuana.
Picha kama hiyo ilitengenezwa kwa Jakaya Kikwete mwanzoni mwa kipindi chake cha urais. Sote tunajua reaction ya dola ilivyokuwa na namna mamilioni ya walipa kodi yalivyotumika kuwasaka walioipost mitandaoni. Ilivyoletwa hapa nakumbuka wengi walilamba BAN za maisha.
Sasa imerudi kwa Lema, TCRA wamefumba macho, ngoja iwekwe ya Bilal akimtafuna Kikwete ndipo watatia akili...
pole kamnda Lema wanadhani watakurudisha nyuma kumbe wanajisumbua. Piga kazi achana nao sisi wapiga kura wako tunakuamini
Hizo picha zimetamalaki vilivyo kwenye simu za vijana wa UVCCM karibu wote nchi nzima wenye smartphones.
Wanasambaziana kupitia Whatsapp.
Mie sina uwezo wa kuzuia fikra zako kwangu.
Kamanda! Mbona unakurupuka kunijibu wewe ukiona ID basi hautaki hata kusoma alichoandika, mie nitoe povu kwa ujinga huo wa picha.Vip ile ya ubakaji iliishiaga wapi? Teh...mnatoa povu kwa picha fake,kwa nini hamkutoa povu wakati wa kuandaa report fake?
Hizo picha zinahusu nini.
Wewe pia uache kutembea na sumu kulisha wenzakoKitendo cha TCRA kukaa kimya ni kosa kubwa na siasa hizi chafu hazitaishia hapo.Tutaona