Arusha MP says 'Dirty' phots are fake

Arusha MP says 'Dirty' phots are fake

Mkuu ni kweli kwenye sakata la gesi huyu jamaa alipata credit za kutosha hapa JF mpaka tukawa na hofu na usalama wake. Sio siri hali ilivyo fikia kuwa mbaya nilishawahi kumwombea dua asipatwe na mabaya. Sasa amegeuka na kuwa tofauti na kuwatia aibu watu wa kusini. Na kama watu wa kusini walikuwa wanamwona THE BIG SHOW kuwa nimtu wa kutegemea basi wamepotea. Hamna kitu hapo
Unachanganya sana kama unadhan harakati za gesi za Mtwara zilkuwa ni za kisiasa au zilikuwa zinapewa backup na wanasiasa, Na hazijafeli,Zipo na zitaendelea kuwepo
 
Last edited by a moderator:
Nenda zako gesi inatoka na hautafanya lolote utaishia kubwabwaja kwenye keyboard kama Lumumba wenzako
Tumia akili basi, Sasa kwani Mafisadi wa CCM wakifisidi gesi au Tembo hasara inakuwa ya kwangu mimi au ya taifa lote kwa ujumla?? Wewe unadhan kwa kuniambia mimi gesi inatoka ndio nin sasa??niumie au nisononeke?? Njoo uzungumze hoja na unikosoe,sio kubwabwaja kama umerukwa na akili umerukwa na
 
Mkuki kwa nguruwe ehhh za Kikwete mbona hukusema TCRA ila za bosi povu linakutoka.

Mkuu siasa za Tz zinanuka uvundo. You cant imagine kwamba ni watu wazima wanafanya haya mambo! Nakumbuka kuna wakati Lissu aligawa namba za simu za Makinda na Ndugai kwa wapuuzi na wakawapa ruhusa ya kuwatukana spika na naibu wake. Kile kitendo kilinifedhehesha sana japokuwa sikuwa spika wala naibu spika! Leo hii Lema analalamika na kudai anamwachia Mungu! Huu ni upumbavu coz wakati spika na naibu wake wakitukanwa yeye na wenzake walishangilia. Swali, ni Mungu yupi wanamwachia ambaye aliwatuma wakamtukane spika, leo achukie Lema kudhalilishwa?? Haya ni matunda ya siasa wanazofanya!! Kipimo utakachowapimia wenzako, ndicho utakachopimiwa!!
 
kitendo cha tcra kukaa kimya ni kosa kubwa na siasa hizi chafu hazitaishia hapo.tutaona

tcra wanausika vipi?????? Programe zipo za kutengeneza free , adobe movie maker.
Ungeniambia polisi walau
 
Hebu tupeni maelezo za hizo picha jamani,jamaa alikua anamegwa?
 
Tumia akili basi, Sasa kwani Mafisadi wa CCM wakifisidi gesi au Tembo hasara inakuwa ya kwangu mimi au ya taifa lote kwa ujumla?? Wewe unadhan kwa kuniambia mimi gesi inatoka ndio nin sasa??niumie au nisononeke?? Njoo uzungumze hoja na unikosoe,sio kubwabwaja kama umerukwa na akili umerukwa na
Nyamaza!!!!!! Wake zenu wabakwe na jeshiccm wewe bwabwaja kwenye keyboard kama lumumba wenzako
 
Nyamaza!!!!!! Wake zenu wabakwe na jeshiccm wewe bwabwaja kwenye keyboard kama lumumba wenzako
Mkuu ficha upumbavu wako!! Nchi inabakwa hii!! Stuka!! Kuna kontenna la futi 40 limekamatwa Zenj likitokea Dar, nadhani hizi ni habari njema kwako eti?
 
Unachanganya sana kama unadhan harakati za gesi za Mtwara zilkuwa ni za kisiasa au zilikuwa zinapewa backup na wanasiasa, Na hazijafeli,Zipo na zitaendelea kuwepo
Mkuu, mimi mwenyewe nilikupa heshima sana, kutoka mpigania rasilimali mpaka mshabikia picha chafu, umejishusha mno,
Saa hizi nakuona buyu tu...
 
Nakumbuka picha kama hizo za Kikwete ziliwahi kutengenezwa na kupostiwa ZE UTAMU. Lakini kodi yetu ilitumika mpaka wamiliki wa mtandao wa ZE Utamu wakatiwa mbaroni London, sio Tanzania.

Leo TCRA wanachekelea Lema kuchaufuliwa kama wakati ule wa kampeini za Urais pale Dr. Slaa alipochafuliwa.

Lakini TCRA wanasahau kwamba sio UVCCM na Mwingulu tu wanaoweza kutengeneza hizo picha na kuzituma mitandaoni. Mimi Mwenyewe naweza kuzitengeneza.

Sasa sijui siku TCRA watakapokuta picha za aina hiyo za Kikwete, Wassira, Kinana, Lukuvi, Sophia Simba, Nape, Makinda, Ndugai etc zimetengenezwa na kusambazwa mitandaoni watasemaje?

Huu ujinga wanaolea TCRA utakuja kuwatokea puani yangu macho. Uko wapi Innocent Mongi?! Mbona hili la Lema kuchafuliwa hulitolei maelezo pale ITV kama kawaida yako?

nakumbuka hii kazi ilipewa kampuni moja ya kiisrael kufanya tracking mpaka wakakamatwa .
 
Gazeti la Daily News la leo tar 13 Nov 2013 ukurasa wa 3 limeandika habari ya Lema kusema kwamba picha chafu zinazosambaa mtaani kumhusu yeye ni fake.

Lema akiongelea hizo picha anasema picha hizo zilianza kutumwa kwa mke wake ambaye naye alizituma kwa Mh Msigwa kuomba ushauri, Lema anasema ameshawafahamu wasambazaji wa hizo picha na anadai kuwa ni mahasimu wake wa kisiasa ambao wengine wako ndani ya CDM na wengine ni wa nje.

Baadhi ya namba zinazodaiwa kusambaza picha hizo ni 0752-593773, 0787717733, 0684-941134, 0688913046, na inasemekana zaidi ya watu 200 wenye smartphones wameshapata hizo picha.

Source: Daily News.



Hii habari sijaiona humu, naomba kama ipo mods unganisheni, lakini pia mwenye hizo picha aturushie tujihakikishie kweli ni fake au za kweli.

Magamba tu...muflis, na wanatumia 'wenye njaa' wachache....! Obama alipokuwa anahangaikia kuongoza umma wa wamarekani, picha zake nyingi mno zilisambazwa, akiwa amevalishwa majoho ya mujahedeena, baraghashia, picha za kike, picha za wanyama pori nk...lakini ukombozi unapoelekea kutokea...hata shetani wanajiandaa kupinga kwa kila hali, hadi mapepo yanasoma biblia ili kupata vifungu na mbinu za kuzuia ukombozi usifikie umma...ila walishindwa! Lema atashinda...hakuna wafu wawezao kushinda wenye uhai...
 
Tumia akili basi, Sasa kwani Mafisadi wa CCM wakifisidi gesi au Tembo hasara inakuwa ya kwangu mimi au ya taifa lote kwa ujumla?? Wewe unadhan kwa kuniambia mimi gesi inatoka ndio nin sasa??niumie au nisononeke?? Njoo uzungumze hoja na unikosoe,sio kubwabwaja kama umerukwa na akili umerukwa na
Udaku mpaka kwenye mambo ya msingi....eti huyo jamaa nae anajiita kijana!..Lost generation!
 
Gazeti la Daily News la leo tar 13 Nov 2013 ukurasa wa 3 limeandika habari ya Lema kusema kwamba picha chafu zinazosambaa mtaani kumhusu yeye ni fake.

Lema akiongelea hizo picha anasema picha hizo zilianza kutumwa kwa mke wake ambaye naye alizituma kwa Mh Msigwa kuomba ushauri, Lema anasema ameshawafahamu wasambazaji wa hizo picha na anadai kuwa ni mahasimu wake wa kisiasa ambao wengine wako ndani ya CDM na wengine ni wa nje.

Baadhi ya namba zinazodaiwa kusambaza picha hizo ni 0752-593773, 0787717733, 0684-941134, 0688913046, na inasemekana zaidi ya watu 200 wenye smartphones wameshapata hizo picha.

Source: Daily News.



Hii habari sijaiona humu, naomba kama ipo mods unganisheni, lakini pia mwenye hizo picha aturushie tujihakikishie kweli ni fake au za kweli.

Magamba tu...muflis, na wanatumia 'wenye njaa' wachache....! Obama alipokuwa anahangaikia kuongoza umma wa wamarekani, picha zake nyingi mno zilisambazwa, akiwa amevalishwa majoho ya mujahedeena, baraghashia, picha za kike, picha za wanyama pori nk...lakini ukombozi unapoelekea kutokea...hata shetani wanajiandaa kupinga kwa kila hali, hadi mapepo yanasoma biblia ili kupata vifungu na mbinu za kuzuia ukombozi usifikie umma...ila walishindwa! Lema atashinda...hakuna wafu wawezao kushinda wenye uhai...
 
kitendo cha tcra kukaa kimya ni kosa kubwa na siasa hizi chafu hazitaishia hapo.tutaona

kama lema ikizibitika kausika mh kufanya matendo hayo na sio ya kutengenezwa ;

afutwe kwenye chama cha demokrasia ; aende chama cha waliberali

cdm sio waliberali.

Inawezeka ikawa kweli au si kweli
 
Mkuu, mimi mwenyewe nilikupa heshima sana, kutoka mpigania rasilimali mpaka mshabikia picha chafu, umejishusha mno, Saa hizi nakuona buyu tu...
Ulinipa heshima yako kwa kupigania rasilimali,nilikuomba heshima yako??i don know you,you don know me,you can take heshima yako, Mi siko hapa kukuimpress wewe au yyte yule,unapoteza time yako tuh
 
Back
Top Bottom