Arusha MP says 'Dirty' phots are fake

Arusha MP says 'Dirty' phots are fake

lakini bado atabaki kuwa mbunge wetu tu, watajaribu lakini mtashndwa.

Hakuna cha kujaribu Mkuu. Lema ni mmafia wa hali ya juu na hayo yanayompata sasa ni matokeo ya umafia wake
 
Mkuki kwa nguruwe ehhh za Kikwete mbona hukusema TCRA ila za bosi povu linakutoka.
Mbona hiyo ya JK mtu akula mvua 2 jela, hili TCRA mbona hawatoi ushirikiano, na wakiendelea kutotoa ushirikiano tutaamini waliohusika ni watu gani.
 
Nakumbuka picha kama hizo za Kikwete ziliwahi kutengenezwa na kupostiwa ZE UTAMU. Lakini kodi yetu ilitumika mpaka wamiliki wa mtandao wa ZE Utamu wakatiwa mbaroni London, sio Tanzania.

Leo TCRA wanachekelea Lema kuchaufuliwa kama wakati ule wa kampeini za Urais pale Dr. Slaa alipochafuliwa.

Lakini TCRA wanasahau kwamba sio UVCCM na Mwingulu tu wanaoweza kutengeneza hizo picha na kuzituma mitandaoni. Mimi Mwenyewe naweza kuzitengeneza.

Sasa sijui siku TCRA watakapokuta picha za aina hiyo za Kikwete, Wassira, Kinana, Lukuvi, Sophia Simba, Nape, Makinda, Ndugai etc zimetengenezwa na kusambazwa mitandaoni watasemaje?

Huu ujinga wanaolea TCRA utakuja kuwatokea puani yangu macho. Uko wapi Innocent Mongi?! Mbona hili la Lema kuchafuliwa hulitolei maelezo pale ITV kama kawaida yako?
 
Tumeshakujua sana kwamba wewe ni mchafuzi sifa ulizojijengea kwenye jamvi hili za ukomavu na usimamizi wa mali asili za taifa zimegeuka na kuwa kiwavi cha matusi na mtambo wa uongo na, mkosa heshima na mropokaji ,toeni hizo picha tuzione tunasikia nyimbo ndefu picha hatuzioni ,

Mkuu ni kweli kwenye sakata la gesi huyu jamaa alipata credit za kutosha hapa JF mpaka tukawa na hofu na usalama wake. Sio siri hali ilivyo fikia kuwa mbaya nilishawahi kumwombea dua asipatwe na mabaya.
Sasa amegeuka na kuwa tofauti na kuwatia aibu watu wa kusini. Na kama watu wa kusini walikuwa wanamwona THE BIG SHOW kuwa nimtu wa kutegemea basi wamepotea. Hamna kitu hapo
 
Last edited by a moderator:
Hakuna cha kujaribu Mkuu. Lema ni mmafia wa hali ya juu na hayo yanayompata sasa ni matokeo ya umafia wake
ni kweli unachosema, ila huu si umafia ndugu yangu Lizaboni, huku ni kuzalilishana kwa mambo yasiyo na tija hata kidogo. na leo hii ndo napata picha sisi tunatakiwa tuongozwe na kina Nkapa awamu 3 mfululizo kisha Kadame awamu 3 kisha amalizie awamu mbili za Adolf Hipler ndo tutapata maendeleo kwa mwenendo huu.
 
Nakumbuka picha kama hizo za Kikwete ziliwahi kutengenezwa na kupostiwa ZE UTAMU. Lakini kodi yetu ilitumika mpaka wamiliki wa mtandao wa ZE Utamu wakatiwa mbaroni London, sio Tanzania.

Leo TCRA wanachekelea Lema kuchaufuliwa kama wakati ule wa kampeini za Urais pale Dr. Slaa alipochafuliwa.

Lakini TCRA wanasahau kwamba sio UVCCM na Mwingulu tu wanaoweza kutengeneza hizo picha na kuzituma mitandaoni. Mimi Mwenyewe naweza kuzitengeneza.

Sasa sijui siku TCRA watakapokuta picha za aina hiyo za Kikwete, Wassira, Kinana, Lukuvi, Sophia Simba, Nape, Makinda, Ndugai etc zimetengenezwa na kusambazwa mitandaoni watasemaje?

Huu ujinga wanaolea TCRA utakuja kuwatokea puani yangu macho. Uko wapi Innocent Mongi?! Mbona hili la Lema kuchafuliwa hulitolei maelezo pale ITV kama kawaida yako?


Mkuu umenena vema ila haya yote yanayojiri ni kwa sababu ya siasa tu. Ila kwa uongozi wa juu wa serikali ndiyo wanakaribisha haya nakwambia hawana budi kukiri ya kwamba wataizika ccm mdomo wao wenyewe itakuwa kama ile chama ya majirani zetu hapo Kenya (KANU).
Nakuhakikishia ya kwamba hili haliendi bure hata kidogo.
 
Hiz cm ndizo walizo pewa uvccm kule zanzibar na kiongoz fulan,kumbe kaz yake iliku hii? Pole sana kamanda Lema.

Ni kweli mkuu, wamepewa Samsung galaxy za kichina zinafanana sana na Samsung galaxy S4.
 
Sema mimi mpiga kura wako ninakuamini,sio sisi wapga kura wako,tafadhari usijumuishe na sie tulio mbaali na wavuta bangi
Ni pamoja na mimi namuamini kamanda Lema, bado tu hana haki ya kutumia neno sisi?
 
Kwakweri kama kuna watu wanasambaza picha chafu za lema waache sio siasa za kistaarabu hizo...

na lema na wewe pia uache siasa zako za kibabe na kuchafuana.
 
Kitendo cha TCRA kukaa kimya ni kosa kubwa na siasa hizi chafu hazitaishia hapo.Tutaona

Hii nchi chini ya MACCM usishangae haya. Mbaya zaidi hapa kwenye jukwa kuna thread zinapaliliwa na zingine zinanyofolewa na MODS. Tukubali tu kuwa kwa sasa ni malipo ya mwenye wimbo kwa mpiga zumari. Ila nina uhakika UKWELI UTASHUHUDIWA hata ndani ya kaburi.
 
Hivi tuna uhakika gani kama ni feki? Kwa jinsi pozi zake zilivyo inaweza kuwa ni kweli.
 
Back
Top Bottom