Arusha MP says 'Dirty' phots are fake

Arusha MP says 'Dirty' phots are fake

Ulinipa heshima yako kwa kupigania rasilimali,nilikuomba heshima yako??i don know you,you don know me,you can take heshima yako, Mi siko hapa kukuimpress wewe au yyte yule,unapoteza time yako tuh
Sure, you are not here to impress anyone, but atleast you can think of your dignity, boasting around that you have some dirty pics of an MP shouldnt have been your idea of fun, I am dreadfully sorry to learn that you are proud of such a stupid thing, shame up on your face you uncultured mug!!.
 
Kitendo cha TCRA kukaa kimya ni kosa kubwa na siasa hizi chafu hazitaishia hapo.Tutaona

Ben TCRA ni mali ya nani? hivi mwenye mali atakubali kuacha plan yake ya kukuchafua? it is done systematically. Kwa taarifa yako hata jf kuna moderator wanamtumia iko siku tutakupa jina. mnachotakiwa kufanya ni kuja na mbinu ya kujibu haya
 
Hivi hizi picha zinazodaiwa kuwa ni za kugushi au halisi ziko wap? naomba link

nataka kujua kama mbunge wangu anadhalilishwa au ni kweli!

Naomba wachangiaji mjikite kunisaidia kujua ziliko! ili tujue pumba na mchele,haiwezekani tujadili kitu hewani.

Jf ni kila kitu bwana! tunataka picha
 
Acha utoto hizo picha wewe zitakusaidia nini.?

Wewe umeshaambiwa picha za kudhalilisha........ basi elewa hivyo hivyo!!
 
Acha utoto hizo picha wewe zitakusaidia nini.?

Wewe umeshaambiwa picha za kudhalilisha........ basi elewa hivyo hivyo!!

Kwa nini lakini! we umeziona? kwa nini tunauzia mbuzi kwenye gunia? vinginevyo hiyo mijadala ifungwe hapa JF,Mnapoendelea kujadili hewa haina maana kabisa! kama hazipo basi hakuna ya kujadili issue za picha kama zilikuwepo an zipo tuzione ili tujadili kama ni za kudhalilisha basi! nani anadhibitha kuwa ni mbaya,na kumbuka kuwa ubaya wa hizo picha pengine uko kwa mtazamaji.
 
Kwa nini lakini! we umeziona? kwa nini tunauzia mbuzi kwenye gunia? vinginevyo hiyo mijadala ifungwe hapa JF,Mnapoendelea kujadili hewa haina maana kabisa! kama hazipo basi hakuna ya kujadili issue za picha kama zilikuwepo an zipo tuzione ili tujadili kama ni za kudhalilisha basi! nani anadhibitha kuwa ni mbaya,na kumbuka kuwa ubaya wa hizo picha pengine uko kwa mtazamaji.

Unataka udhihitisho gani ikiwa Lema mwenyewe amekiri mbele ya mkutano wa hadhara kuwa kweli hizo picha zipo.!

Na mkewe amedhibitisha kuwa alitumiwa kwenye WhatsApp...
 
Unataka udhihitisho gani ikiwa Lema mwenyewe amekiri mbele ya mkutano wa hadhara kuwa kweli hizo picha zipo.!

Na mkewe amedhibitisha kuwa alitumiwa kwenye WhatsApp...

so na wewe hujaziona siyo? kama ni hivyo kamaa kimya ili walioziona waseme,sasa klama hujaziona unasemaji ni fek,nyie vipi lakini,yahani mnauzwa mchana kweupe
 
Henry Kilewo atakuwa aliziweka kwenye blog yake.

pitia kwenye credit kilewo.
 
Last edited by a moderator:
Hivi hizi picha zinazodaiwa kuwa ni za kugushi au halisi ziko wap? naomba link

nataka kujua kama mbunge wangu anadhalilishwa au ni kweli!

Naomba wachangiaji mjikite kunisaidia kujua ziliko! ili tujue pumba na mchele,haiwezekani tujadili kitu hewani.

Jf ni kila kitu bwana! tunataka picha

Mi ninayo ile ya Raisi kikwete ilitolewa na ze utamu unaitaka?
 
Hivi hizi picha zinazodaiwa kuwa ni za kugushi au halisi ziko wap? naomba link

nataka kujua kama mbunge wangu anadhalilishwa au ni kweli!

Naomba wachangiaji mjikite kunisaidia kujua ziliko! ili tujue pumba na mchele,haiwezekani tujadili kitu hewani.

Jf ni kila kitu bwana! tunataka picha

sherha jf unazifahamu vema au ni mageresho! Picha zinalilisha unataka nini ? Kudhalilisha au ....

KWA TAARIFA YAKO HATA BLOG ILIYOKUWA ISAMBAZA HIZO PICHA IMESHAZIOA KUKWEPA MKONO WA SHERIA
 
Hii ncho ndo maana tunaogopa jumuia ya Africa Mashariki kama ukoma, inahuzunisha sana nguvu kazi kutumia muda mwingi kufanya majungu, picha zitakusaidia nini latika maisha yako ya hapa Duniani? Je zina faida gani kwa Taifa? Majungu ndo yanua nchi na kufanya watu kuwa mazezeta na wazungu kuja kujitwalia mali za nchi, wakati humu watu wanapiga majungu kule LOLIONDO ni ndege zinapishana na angani wanyama,
Majungu yanaangamiza Taifa
 
Azirushe humu ili iweje? Waambie daily news wakupe link ya hayo mapicha

Kweli watu wengine wamwnyishwa maji ya ukabila,humu jf madhali ya chadema picha wameziondoa haraka lkn hiyo ndio tabu ya kuchagua viongozi wanaoliwa 0713
 
Kitendo cha TCRA kukaa kimya ni kosa kubwa na siasa hizi chafu hazitaishia hapo.Tutaona

Leo ndio mnawajua TCRA nabado utakumbuka mengi tu..kumbe mkuki kwa nguruwe eenh uwo mwanzo tuu picha kamili linakuja mungu ayuko pamoja na wadhambi kama wew.
 
Hatimaye nimeziona lakini kumbe ni fake kabisa! hata waliozitengeneza wajinga! huwezi kudanganya umma kwa zile picha!

Walichofanya ni kuchukua kicha cha guy akiduh mwenzake na kuweka cha Lema basi!

mimi nilifikiri ni issue kuuubwa kumbe ni huu ugoro! hata akina lema kumbe ni wanasiasa wachanga! kwani huu ushenzi wala huwezi kuusema kwenye mkutano. kadri uanvyoeleza kashfa ya uongo juu yako ndivyo uanvyoongeza iadadi ya watu watakaoijua ambao baadhi yao huamini !
 
Back
Top Bottom