Arusha MP says 'Dirty' phots are fake

Arusha MP says 'Dirty' phots are fake

Mbona unanishambulia nimesema tu kuwa ninazo tangu mwaka jana lakini kutokana na heshima na sheria za nchi sijaziweka kwenye mitandao....

Hongera sana Mkuu kwa kumtunzia heshima huyu Lema. Ila akiendelea kumsakama ZITTO wee ziachie tu
 
Mkuu, ndo Lema atakapojua kuwa si kila siku ni nyota njema kwake. na ukiwa mhuni epuka utapeli. yeye katapeli na jamaa wamemfanya usodoma

Na kikwete naye kafanya nini? Obama je? Bush Je? Yaani kama kusingekuwa na sheria za kuzuia uhuni huo hiyo kazi mbona naiweza...
 
Kufanya hivyo ni kosa kisheria.. Lema aende mahakamani haraka ushaidi upo wakutosha kuwatia hatiani watuhumiwa!

Mkuu, hata ZITTO anao ushahidi wa kutosha kuwa ile Ripoti iliandaliwa na wabaya wake ndani ya CHADEMA. Wapelekane tu mahakamani ili chama kife kabisa
 
Na kikwete naye kafanya nini? Obama je? Bush Je? Yaani kama kusingekuwa na sheria za kuzuia uhuni huo hiyo kazi mbona naiweza...

Mkuu, kama wewe umeziona hizo picha, je ni bonafide genuine au feki? maana kila kitu kinachocirculate kuhusu CHADEMA na viongozi wake wanasema ni feki. nilicheka sana hata makamasi ya Lwakatare walisema ni feki
 
Lawama zote ziwaendee wapiga kura kwa kuchgua watoto wa vijiweni na waimba bongo fleva, ushindni wao umeishia kwenye kupika majungu na kutengeneza ushushi. Lema asimlaumu yoyote isipokuwa ajilaumu yeye mwenyewe na yeye ni miongoni mwao
 
Ni jambo la kusikitisha kusikia Sadifa alishiriki mchezo wa kijinga kama huu Huyo mwehu mwingine aliyetajwa sishangai lakini of all the People Sadifa?

Kama TCRA hawatachukua hatua watakua wamebariki ufedhuli na sasa tutaona ni nani atakayebaki salama katika mchezo huu
Tutaanza na magogoni...
 
Mimi binafsi pamoja kuwa napigana na Lema pamoja na CHADEMA lakini kitendo alichofanyiwa Lema siyo cha kiungwana, hii tabia imeishazoeleka mitandaoni kuchafuana.
Sikuwahi dhani kama Ritz, huwa ni muungwana. Kwa hii post, wewe ni mstaarabu ila basi tu kuna wakati unajitoa ufahamu.
 
Kweni mawasiliano ya Zitto yaliyowekwa hapa mtandaoni yaliambatana na picha za Zitto?

kwa hiyo we unatakaje?

Siasa ni hoja si matusi wala kejeli, tulipofika si pazuri hata kidogo

Walianza na Mbowe ati kajenga njumba Uarabuni haikunoga

Wakaja kwa ZITTO eti anahongwa CCM haikunoga

sasa wamekuja kwa LEMA bila shaka yupo anafuata kwa kashifa nzito

Lakini hizi siyo siasa za kistaarab bali ni utoto
 
Lawama zote ziwaendee wapiga kura kwa kuchgua watoto wa vijiweni na waimba bongo fleva, ushindni wao umeishia kwenye kupika majungu na kutengeneza ushushi. Lema asimlaumu yoyote isipokuwa ajilaumu yeye mwenyewe na yeye ni miongoni mwao
Kweli kabisa Bongo fleva na wanaoanguka vifafa...
 
Hizo picha zimetamalaki vilivyo kwenye simu za vijana wa UVCCM karibu wote nchi nzima wenye smartphones.
Wanasambaziana kupitia Whatsapp.

Itakuwa zile smartphone walizo nunuliwa na Makamba kule Zanzibar. Kumbe zilikuwa na malengo maalum eeh? Lakini kama ilivyowahi kutokea huko nyuma, wote kwa umoja wetu tulipiga kelele sana juu ya ile dhahma ya Zee utamu (ambayo nasikia tetesi ni kuwa jamaa anayejidai " king of media" kibonge hivi alihusika baada dingi kupigwa faulu) basi na hili tusikubali wajinga watutoe kwenye mambo ya maana.
 
Hizo picha zimetamalaki vilivyo kwenye simu za vijana wa UVCCM karibu wote nchi nzima wenye smartphones.
Wanasambaziana kupitia Whatsapp.

Hiz cm ndizo walizo pewa uvccm kule zanzibar na kiongoz fulan,kumbe kaz yake iliku hii? Pole sana kamanda Lema.
 
kikwete mku wa nchi so kama TCRA haikufuatili zakwake na za yeyote yule kikwete ndio mtu wakwanza kulaumiwa.
Hata hivyo nashaur Lema wala asichukulie hili swala kwa jazba,asilifanye big issue. Afuate taratibu za kisheria na aendelee na maisha kwani wengi washafanyiwa hivyo..kina bush,clinton,blair nk.
Infact,hiyo inaonyesha how desparte CCMs are. Jana nimesikiliza kmkutano kao pale nyuma ya shekh amri Abeid stadium kata ya kaloleni, seriously,these guys are desparate..uzi ukazwe watasanda soon. Usipoona zile rangi naeza fikiri mkutano ni wa CDM mana kila baada ya neno linafuata CDM hakuna cha maana wanaongea.

Nenda kaangalie hizo picha live pale shule ya Ngarenaro
 
lakini bado atabaki kuwa mbunge wetu tu, watajaribu lakini mtashndwa.
 
lema ni janga kwa vijana, ameiga tabia ya slaa


Janga ni chama cha mafisadi a.k.a sisiem na nawaambieni ya kwamba kwa mwenendo huu mliouanzisha ccm nakwambieni ya kwamba ndiyo tamati yenu kwenye ulimwengu wa siasa Tanzania hii
 
Back
Top Bottom