Arusha MP says 'Dirty' phots are fake

Arusha MP says 'Dirty' phots are fake

Kama vipi tcra waruhusu ili kila upande utengeneze picha za kuzushiana tuone timu ipi itakayokuwa ya kwanza kuomba poo
 
mimi ninayo ya kikwete na nape..
Uwe na heshima kwa Rais wako huo si ustaaarabu hata kidogo hata Mungu hapendi, nalaani kabisa kitendo hiki kwako na wote waliotuma picha feki za Mhe. Lema
 
Lema we chapa kazi achana na hawa pimbi ss wananchi wa arusha tunakuunga mkono na tutaendelea kukuunga mkono
 
kiambatisho; Ushahidi wa mbunge Godbless Lema kumbaka flora lyimo wazidi kubainika


Taarifa za kweli kuhusu mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema kumbaka mwanadada Flora Lyimo tarehe 8.8.2012 nchini Uingereza wakati wa ufunguzi wa tawi la chadema nchini humo umezidi kubainika.

Tarehe 2 -3, january 2013 akiwa tanzania, Flora aliwasilisha barua ya polisi wa uingereza kwa polisi kituo cha Moshi mkoani kilimanjaro na kufunguliwa jalada no.MOS/RB/17127/12.
Aidha tarehe 13/12/2012 Afisa upelelezi DC William Hughes wa kitengo cha uhalifu jeshi la polisi la uingereza kituo cha 4-6 shepherdess walk N17LF alifika ubalozi wa Tanzania nchini uingereza ili kujua pamoja na mambo mengine,
-Taarifa sahihi za GODBLESS LEMA
-Anuani yake
-Barua pepe
Ushauri kutoka mamlaka za Tanzania juu ya mikakati mizuri ya kushughulikia kesi hiyo ambayo inamuhusisha kiongozi wa chama kikubwa cha siasa na
-Wasifu wake.
Mbali na tukio hilo kuripotiwa ubalozini, vyanzo mbalimbali vya habari ikiwa ni pamoja na Gazeti la changamoto la tanzania toleo namba 348 la tarehe 18- 24 desemba 2012 lilichapisha taarifa ya tukio hilo kwenye ukurasa wake wa mbele.kwa kichwa cha habari "POLISI UINGEREZA WAMSAKA LEMA", Pia blog ya global publishers ya nchini tanzania katika report zake za tarehe 14 mei 2013 iliandika habari hiyo kwa kichwa cha habari "MREMBO;MBUNGE AMENIBAKA" Ambapo mrembo huyo (flora) alieleza alivyochaniwa na kufanyiwa kitendo hicho. alieleza kuwa lema alikuwa amemsindikiza mpaka nyumbani na walipofika LEMA aliomba aonyeshwe sehemu ya kujisaidia haja ndogo ndipo alipomvamia Flora na kumchania nguo na kutekeleza azma yake hiyo ovu.
Flora amekuwa akionekana katika shughuli mbalimbali za kijamii lakini ana wasiwasi kuwa anaweza kufanyiwa unyama na LEMA wakati akiwa Tanzania kwa sababu anasema anamfahamu lema pia kuwa ana asili ya ujambazi.
kiambatisho ni barua ya polisi wa kimataifa interpol kumweleza kuwa uchunguzi wa kesi yake unaendelea.

Hivi huyo Flora Lyimo wa miaka hamsini utasemaje alibakwa au dau hakulipwa ndio anageuza kibao
 
Ni jambo la kusikitisha kusikia Sadifa alishiriki mchezo wa kijinga kama huu Huyo mwehu mwingine aliyetajwa sishangai lakini of all the People Sadifa?

Kama TCRA hawatachukua hatua watakua wamebariki ufedhuli na sasa tutaona ni nani atakayebaki salama katika mchezo huu

ha haha..we jamaaa mtela he's a good guy.. hajawahi kushudiwa akihangaika na madumu ya sumu na hakuwahi kufumwa akikojoa kojoa (Rejea majibu ya waziri wa mazingira bungeni wakati wa maswali na majibu) na kuchafua mazingira kama kijana wenu mpokea helkopter Gwakisa
 
Last edited by a moderator:
Ni jambo la kusikitisha kusikia Sadifa alishiriki mchezo wa kijinga kama huu Huyo mwehu mwingine aliyetajwa sishangai lakini of all the People Sadifa?

Kama TCRA hawatachukua hatua watakua wamebariki ufedhuli na sasa tutaona ni nani atakayebaki salama katika mchezo huu
Mimi nasubiri kuona uamuzi wa TCRA ambao humu pia wamo na walituletea elimu kidogo kuhusu haya matumizi mabaya ya mitandao na athari zake, pia sheria zake. Kama watashindwa kwa tukio hili basi kila mtu atalitumia tukio hili kama reference kufanya aonacho yeye ni sahihi
 
Lema pole sana,zipo zingine za machafu YA huku kusini zinasambaa,ni za kipindi kile cdm ilipokuja Movement for change Kusini
 
Lema ndio ajifunze sasa, kuwa siasa chafu sio nzuri, alidhani ni yeye tu anazijua sasa ajue SIASA CHAFU na wengine wanaziweza!

ccm arusha yote hamuwezi kushindana na Kamanda Lema , amewasambaratisha na anaendelea kuwaswaga ! Lema kiboko .
 
Lema pole sana,zipo zingine za machafu YA huku kusini zinasambaa,ni za kipindi kile cdm ilipokuja Movement for change Kusini
Tumeshakujua sana kwamba wewe ni mchafuzi sifa ulizojijengea kwenye jamvi hili za ukomavu na usimamizi wa mali asili za taifa zimegeuka na kuwa kiwavi cha matusi na mtambo wa uongo na, mkosa heshima na mropokaji ,toeni hizo picha tuzione tunasikia nyimbo ndefu picha hatuzioni ,
 
ha haha..we jamaaa mtela he's a good guy.. hajawahi kushudiwa akihangaika na madumu ya sumu na hakuwahi kufumwa akikojoa kojoa (Rejea majibu ya waziri wa mazingira bungeni wakati wa maswali na majibu) na kuchafua mazingira kama kijana wenu mpokea helkopter Gwakisa

Hivi unamjua unayemtetea ?
 
Last edited by a moderator:
kama hayo matusi mnayomtupia lema ni ya kweli basi itisheni uchaguzi sombetini bhana , tumalize ubishi , kampeni meneja wa ccm awe Sadifa .
 
kinachotia shaka ni kwamba mke kaiona halaf akaomba ushauri kwa mchungaji! Maana anayelijua zaidi umbo la lema ni mkewe! kama ni fake nadhani hata kwa mchungaji lisingefika! Anyway not guilty until proven, ila kama mdau mmoja alivyosema what goes round comes around!
Goldman
===>Kuna comment nilishawahi kuiona hapa kuwa jamaa wa ara chuga walivunja duka la jamaa hadi akalazwa hospitali,ila zilibaki kuwa ni uzushi tu sasa sijui ndio zinakuja kwa style nyingine au ndio vipi.
 
Last edited by a moderator:
Goldman
===>Kuna comment nilishawahi kuiona hapa kuwa jamaa wa ara chuga walivunja duka la jamaa hadi akalazwa hospitali,ila zilibaki kuwa ni uzushi tu sasa sijui ndio zinakuja kwa style nyingine au ndio vipi.

Ukweli upo utabainika tu kama ni kweli,hivi vitu huwa wakati mwingine vinapindishwa na kucheleweshwa lakini ukweli ukifika vinaonekana tu!tusubiri!!
 
Last edited by a moderator:
Mkuki kwa nguruwe ehhh za Kikwete mbona hukusema TCRA ila za bosi povu linakutoka.

kikwete mku wa nchi so kama TCRA haikufuatili zakwake na za yeyote yule kikwete ndio mtu wakwanza kulaumiwa.
Hata hivyo nashaur Lema wala asichukulie hili swala kwa jazba,asilifanye big issue. Afuate taratibu za kisheria na aendelee na maisha kwani wengi washafanyiwa hivyo..kina bush,clinton,blair nk.
Infact,hiyo inaonyesha how desparte CCMs are. Jana nimesikiliza kmkutano kao pale nyuma ya shekh amri Abeid stadium kata ya kaloleni, seriously,these guys are desparate..uzi ukazwe watasanda soon. Usipoona zile rangi naeza fikiri mkutano ni wa CDM mana kila baada ya neno linafuata CDM hakuna cha maana wanaongea.
 
Kwani kwenye hizo picha wanamfanyaje lema?maana kila mtu hataki kuweka wazi.
 
Back
Top Bottom