Arusha: Mgomo wa daladala na pikipiki

Arusha: Mgomo wa daladala na pikipiki

Kweli kuna wa2 wajinga waacha shughuli zao za msingi eti lema who is?
Kiingereza ni lugha ngeni, tuache kuitumia kama inatutesa...vinginevyo tunadhalilika bure mbele za jamii!
Hii ni kwa ushauri tu!

user-online.png
MR.LUKAS
Junior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png



Join Date : 31st October 2011
Posts : 1

Rep Power : 0


[h=2]
icon1.png
[/h]
 
Tukiamua kuandika historia kwa damu na kuchoka kutumia kalamu tunaweza kufanikiwa
 
Mkuu heading na post zimenichanganya let be specific brother!
kama vipi tuingie barabarani haraka! OCD wa Arusha ni Kunyanzi la kutupwa, anafanya kazi ya Mukama!

Kaka punguza jazba! Ukipambania kitu kwa jazba uta loose focus kaka! Calm down n stay focused!
 
Tunaomba namba yako ya voda au tigo tukutumie pesa
 
Dalili za majobless kuzidi nchini... Maana mjasiriamali wa kweli anapima impact ya kila jambo kwenye shughuli zake.

Ndum limezidi sana Arusha... watu wanavuta ndum kuliko fegi...matokeo yake...ndo haya!
 
Aaah waaapiii nani agome goma mwenyewe bana hapa kila mtu ndo anatafuta ugali wa kila siku tugome tukale wapi tukaibe!!!
 
Nafarijika kusikia redio zinausoma maana kuna mtu jana alisema ni watanzania wachache sana walio na habari ya waraka wa Lema eti hawafiki hata 1/40 nikamuuliza anajua 1/40 ya watanzania ni ngapi hajanijibu hadi sasa.
Katibu wa CHADEMA (Ndg. Amani), Nasary aliekuwa mgombea wa ubunge Arumeru na mwenyekiti wa Arusha Development Fund( ndg. Efram) wameshafanya mahojioano na radio station karibu zote hapa Arusha mfano (MJ, Sunrise FM, Radio 5...) wakielezea kwanini lema kachukua maamzi hayo na Mwenyekiti ADF alielezea maendeleo na mafanikio ya ahadi alizo zitoa Lema wakati wa kampeni kwani wao ndiyo walio kabidhiwa utekelezaji wa ahadi hizo.....
 
Nawakilisha Kweli tumechoshwa na Ushenzi wa hawa jamaa. Juzi Vijana wa CCM Waliandamana mpaka makaomakuu Polisi Arusha kudai Mtuhumiwa wao asiwekwe Rumande na hakuna hata mtu alie wabebea kirungu. Sisi kumsindikiza mbinge wetu wana piga mabomu na kumharasi. Wana Arusha tushikamane na lazma hawa jamaa watambue nguvu ya Uma mgomo hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.
 
inakuhusu?
Mimi ni mwanachama wa CDM..sipendi kusikia tunavyichukuliwa na other parties. kwanini tuendelee kuitwa watu wa vurugu, mambumbumbu, tulioishiwa sera?
Tubadilike..hata kama tuna machungu sana na nchi yetu, its better tutumie means nzuri na zenye manufaa kuleta ukombozi. Mbona Malawi wameweza, kwanini sisi tushindwe?
 
watu wote waliofirisika kisera; hupenda kujihalalisha kiukabila, udini au mahari wanapotoka! (J.K. Nyerere)
 
Mimi ni mwanachama wa CDM..sipendi kusikia tunavyichukuliwa na other parties. kwanini tuendelee kuitwa watu wa vurugu, mambumbumbu, tulioishiwa sera?
Tubadilike..hata kama tuna machungu sana na nchi yetu, its better tutumie means nzuri na zenye manufaa kuleta ukombozi. Mbona Malawi wameweza, kwanini sisi tushindwe?
Umeshafatilia siasa za Arusha kuanzia mwaka jana mwezi wa kumi?
 
Dalili za majobless kuzidi nchini... Maana mjasiriamali wa kweli anapima impact ya kila jambo kwenye shughuli zake.

Ndum limezidi sana Arusha... watu wanavuta ndum kuliko fegi...matokeo yake...ndo haya!
kweli aisee alwatani..thanx for this usefull comment
 
Mkuu kwa hiyo mtasaidiwa na Nato?
Tanzania ina jeshi la kuhitaji NATO? mkiwa mnakunywa bia za bure za jeshi huwa mnadanganyana hivyo pole, hakuna haja ya kuwasumbua kina Nicolas Sarkozy nyie ni wa mawe tu, vibaraka wakubwa.
 
Inawezekana kabisa mtu ukishakuwa Madarakani uwezo wa kufikiri unapungua, just thinking wide, maana dalili zoote zinaonekana lakini wapi!!, macho yao hayaoni, masikio yao hayasikii, something like Gadaffi type.
Nakubaliana na wewe,kuna ganzi flani hivi huwa inawaingia kwenye ubongo!

Tumeshuhudia wengine ni hadi risasi za kichwa kwenye ubongo.Na hapo ni too late.

Madaraka matamu bana,ni kama nzi anapofia kwenye kidonda!
 
Huyu OCD ni kielelezo cha watawala wetu walivyolewa madaraka. Ulevi wa madaraka ni mbaya sana kuliko wa pombe maana mlevi wa pombe zikimtoka anafanyakazi inavyotakiwa, lakini mlevi wa madaraka ulevi haumtoki mpaka apoteze madaraka aliyo nayo. Iwe isiwe utawala wa namna hii una mwisho wake. Jiulize yaliyotokea Tunisia alianza kujilipua mmachinga mmoja ukawa ndo mwanzo wa mapinduzi. Ghadaffi aliwaita wanamapinduzi mende na panya yaliyomkuta tumeyaona. Amini usiamini nguvu ya umma haizuiliki.
 
Dalili za majobless kuzidi nchini... Maana mjasiriamali wa kweli anapima impact ya kila jambo kwenye shughuli zake.

Ndum limezidi sana Arusha... watu wanavuta ndum kuliko fegi...matokeo yake...ndo haya!
Hizi dharau hata gadafi alizionyesha lakini mwisho wa siku alisokomezwa kisu kwenye masaburi yake kabla hajafanyiwa kweli.....
 
Back
Top Bottom