Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,226
Jamani niko nyuma sana na matukio ilo la kuwaita Panya wapiga kura ilikuwa wapi jamani
Ila kwa CCM na maaskali wao sishangai bse wananchi huwatumia mwaka wa uchaguzi tuu baada ya hapo huwatosa kama ganda la muwa.
Na huyo anaesema huo mgomo utaadhiri watu wa chini,kumbuka watu wa chini ndo wanaofanya kazi kampuni za wakubwa na msg itakuwa sent!
Proceed Arusha the rest will follow!
Ila kwa CCM na maaskali wao sishangai bse wananchi huwatumia mwaka wa uchaguzi tuu baada ya hapo huwatosa kama ganda la muwa.
Na huyo anaesema huo mgomo utaadhiri watu wa chini,kumbuka watu wa chini ndo wanaofanya kazi kampuni za wakubwa na msg itakuwa sent!
Proceed Arusha the rest will follow!