Arusha: Mgomo wa daladala na pikipiki

Arusha: Mgomo wa daladala na pikipiki

Aaah! kumbe kamanda
alijipeleka mwenyewe halafu
akakataa dhamana! Kumbe
basi mgomo uahirishwe maana
kugoma ni kumpuuza,
kumdhalilisha na kumpinga
kamanda wetu.

Hawana kazi wakikua wataacha..ningekuwa polisi ningewaruhusu waandamana jioni watalala
 
Kweli watakaoathirika ni walalahoi, lakini hata madereva wa Toyo ni sehemu ya walalahoi na kuna msemo kifo cha wengi ni harusi, walalahoi watakosa na hao wakubwa ujumbe utawafikia, nawatia moyo wakazi wa Arusha fanyeni mlichokusudia umoja ni nguvu na hiyo ni mbegu italeta neema baadaye
 
ukizaliwa na ukakuta wazazi wako wnaafanya kazi ya utumwa hakika hutajua kama wewe nza wazaz wako mko utumwani....mpaka aje mtu mwingine to sehemu nyingine akufafanulina na kukuonyesha namna gani mko utumwani....na ndio maana nasema mambo mengine ni next level kwa watu kama wewe...
mwezi bado mchanga na huu ndio mda wa watu wainana yako kuanguka kifafa......
Asante..lakini mimi nilitoa tu ushauri kama mkereketwa wa chama
 
Huyo anayejiita facebook...Ana maana ukiwa na mgonjwa ndani ndio maisha yanakoma....zitTo mwenyewe huko aliko anaandika kutupa taarifa na anajuwa watanzania na Chadema wanampenda ..msitumie kuugua kwa chadema kisiasa....

Kwani hata ccm kuna wabunge wagonjwa wako muhimbili na India....lakini Kazi za chama zinaendelea ....pia mawaziri watatu...Mwandosya ,chami, na mwakyembe ....wanaendelea na matibabu ya kuondoa sumu mwilini...kwa namna tofauti ....lakini hatujasikia Tamko la ccm dhidi ya kuugua kwaooo......wakati tunasema haya chadema kupitia katibu mkuu Slaaa imeshatoa Tamko la kuugua kwa Zitto kabwe....
 
Huyo anayejiita facebook...Ana maana ukiwa na mgonjwa ndani ndio maisha yanakoma....zitTo mwenyewe huko aliko anaandika kutupa taarifa na anajuwa watanzania na Chadema wanampenda ..msitumie kuugua kwa chadema kisiasa....
QUOTE]

Huyo facebook anawapotezea muda. Kwa maoni yake alitaka watu waache shughuli zao zote na waingie kwenye nyumba za ibada kumuombea Zitto? Kwani huwezi kusali/kuomba huku ukiwa unatembea n.k? Mbona naona waislam wengi tu barabarani na tasbihi?
 
upupu sio wa lema wewe punga ni wa Ocd mjinga aliyesababisha yote hayo.
OCD hana shida kabisa, anafanya kazi yake. Tuangalie namna ya kumwelimisha Lema awe na uelewa ku kudeal na vyombo vya dola.
Okay, Umeeleweka sasa!
Akishapona je?

Akishapona tutakuwa na nguvu mpya..Zitto ana influence kubwa sana ndani ya Chadema na Tanzania kwa ujumla.
 
Hivi hizo pikipiki ni mali ya Chadema? hawa jamaa watakaogoma nadhani watakuwa ni wahuni tu na huo mgomo sijui kama utakuwa na madhara yoyote kwa serikali

Haya shauri yenu. Mchelea mwana kulia hulia mwenyewe!
 
Kwa sasa kama kweli hawa jamaa watagoma naona maendeleo yataanza kupatikana, Kazeni buti chaliiii zangu ili msela aendelee kuwa na amani.
 
big up sana wana wa Arusha,saa ya ukombozi ni sasa,kitendo cha kukubali kudhulumiwa haki yako ni dhambi lazima muelewe.Kuoga ni dalili ya kushindwa,inapasa nchi nzima tuingie barabarani,tumezaliwa ili tufe.Kama kweli tunampenda Mungu kwanini tuogope kufa,kwanini turuhusu kudhulumiwa mchana kweupe?

Taifa lenye watu waoga ni silaha hafifu ya kushindwa kuhimili silaha za adui.Tunaingia katika vita ambayo thamani ya damu itayomwagika kutokana na watalawa itakuwa ni deni lisilofutika ndani ya mioyo yao bali ni faraja kwa wanyonge na ndo milango ya faraja kufunguka.hatuwezi kamwe kufanywa mbuzi wa shughuli katika taifa tulilopewa bure na Mwenyezi Mungu,bora kufa wachache kwa manufaa ya wengi.Arusha msirudi nyumba endelezeni migomo,ikiwezekana na wenye mabasi yanayosafirsha abiria kwenda mikoani nanyi mgome ili waliotia pamba masikioni wajue ukombozi wa mnyonge umewadia.
 
Wale wale mliopigwa ban leo kwa matusi mmeanza kuja na ID zingine kwa kujifanywa eti mwana Chadema fake.
Asante. Naona leo ndio nimejiunga na Jamiiforums.
Usijisalimishe Chadema hatutaki mwanachama mbumbumbu na mwoga kama wewe kifupi hatukuhitaji utatuambukiza woga.
Tuneshapoteza ndugu zetu kwa sababu ya maamuzi ambayo sisi wenyewe tulijona kuwa siyo sahihi. Kwanini tena tuendelee kuwaumiza wengine? Halafu wengi mnaojidai kuhamasisha mgomo, ni watu wa maofisini na kesho mtakuwa mnaomba updates ya kinachojiri huko. yaelekea mnapenda sana kuona watanzania wenzetu wakiumia.
 
Dalili za majobless kuzidi nchini... Maana mjasiriamali wa kweli anapima impact ya kila jambo kwenye shughuli zake.

Ndum limezidi sana Arusha... watu wanavuta ndum kuliko fegi...matokeo yake...ndo haya!

Lema amenena tuwapuuze wajınga kama nyıe na mapambano ya ukombozı yanaendelea, hakuna wa kutuzuıa na kama Jela tutaenda ıkıwa sababu ya kwenda huko nı kwaajıl ya kupıganıa hakı ya wanyonge na uzandıkı usıo na tıja kwa Taıfa letu lılılotunukıwa ardhı yenye kıla kıtu ndanı yake.
AMA HAKIKA HATUTARUDI NYUMA.
ALUTA CONTINUA!
Lets stand up n fıght for our Freedom.
 
Kwa sasa kama kweli hawa jamaa watagoma naona maendeleo yataanza kupatikana, Kazeni buti chaliiii zangu ili msela aendelee kuwa na amani.

Wananchi wa mikoa ya kaskazini sio watumwa....au hawana akili za kitumwa...wameyaona maendeleo kitambo hata kabla ya Uhuru ...yaani miaka hiii 50 maendeleo yamerudi nyuma..mfano ..mkoa Kama tanga...wakati wa Uhuru ulikuwaga umechangamka na Wenye maendeleo kuliko dar..Leo hii hata reli hazitumiki.....
 
Aaah! kumbe kamanda
alijipeleka mwenyewe halafu
akakataa dhamana! Kumbe
basi mgomo uahirishwe maana
kugoma ni kumpuuza,
kumdhalilisha na kumpinga
kamanda wetu.
Nitolee uchafu wako wa kijinga.
 
Huyo facebook anawapotezea muda. Kwa maoni yake alitaka watu waache shughuli zao zote na waingie kwenye nyumba za ibada kumuombea Zitto? Kwani huwezi kusali/kuomba huku ukiwa unatembea n.k? Mbona naona waislam wengi tu barabarani na tasbihi?
Na wewe unaona ni sahihi watu kugoma tuende kumlili mtu aliyejipeleka gerezani mwenyewe?
We have to admit kwa hili Lema amechemka
 
OCD hana shida kabisa, anafanya kazi yake. Tuangalie namna ya kumwelimisha Lema awe na uelewa ku kudeal na vyombo vya dola.


Akishapona tutakuwa na nguvu mpya..Zitto ana influence kubwa sana ndani ya Chadema na Tanzania kwa ujumla.

OCD anafanya kazi ya kuwaita watu panya na mende?
 
Na wewe unaona ni sahihi watu kugoma tuende kumlili mtu aliyejipeleka gerezani mwenyewe?
We have to admit kwa hili Lema amechemka

We kalumekenge! Undoa upupu wako humu kazi kuchafua hali ya hewa tu. Utakuwa mtumwa wa sisiem mpk lini watu kama wewe humu ndani mnahesabika utafikiri ndiyo wazawa wa mwaka 1927 wajinga wakubwa na kundi lako lote na mnaojuna.
 
Back
Top Bottom