Arusha Leo: Picha na dondoo za matukio mbalimbali

Arusha Leo: Picha na dondoo za matukio mbalimbali

Wanadhani kwa sababu wana bastola wanaweza kutusumbua. Lakini kuna siku itafika kila mwanachadema abebe jiwe moja tu... watakosa pa kukimbilia...
 
Wamejipanga kuiba sana leo policcm walikuwa wakizunguka na magari yao msafara mji mzima
 
hahahaha, leo patakuwa hapatoshi, kila taarifa ya kizandiki mtaweka, ila nikuhakikishie mleta mada, Mchicha hata ukiwa na miaka mia, kamwe hauwezi kulingana na mbuyu.

Where by;

CHADEMA = Mchicha.

CCM = Mbuyu.

kutakuwa kuna skuru zilizolegea kwenye ubongo wako kwa sahabu unaongea ujinga
 
daahh kweli waafrica tunasafari ndeeefuu sanaa kupata haki katika sanduku la kura... hizo kura zingekuwa ni za chadema... nahisi kesho yule babu mchawi.. (tendwa) ungemsikia yuko na mzee wa makengeza kova... wakitoa vitisho.. ila kwa kuwa ni mabwana zao masisiemu yanafanya hivyo.. kimya, chadema arusha nawaaminia sana.. wakabeni tena kama mlivyofanya hapo arumeru mashariki mpaka siosi akapata pressure na mamvi mkwe wake akikimbizwa ujerumani... pesa zao kuleni kama kawaida ila umakini wenu wa kura ni chadema.... zika ccm arusha...
 
Katika hali yakushangaza mwenyekiti wa chadema amekumbana na fedheha ya mwaka baada yakushuka na chopa kwenye kata ya Dongibesh na wananchi badala yakumsikiliza wakawa bize kuiangalia chopa hata baadada ya mbowe kupanda kwenye jukwaa kuhutubia,,mbowe alijaribu kuwasihi watu wamsikilize bila mafanikio mwishowe aliamua kushusha matusi kwa Nape akimlaumu kuhijumu chadema,,!!mbowe ameondoka muda huu kuelekea Arusha,,!!
Kwa uelewa wako mtu huwa anasikiliza kwa kutumia macho au masikio?
 
Green gurd ya ccm leo kwenye kata ya themi arusha wamewateka makanda wa chadema wamewapiga mpaka sasa hivi wapo icu mount meru hospital wanatapika damu.

Nadhani mda si mrefu tutaconclude kuwa kulalamika hivi haisaidii... Jino kwa jino, jicho kwa jicho...
Tumeshindwa hata kuiga watu wa Mtwara jamani?!!!
 
Jamani sijaona mijitu mijinga kama misisiem inaiba kura halafu ikishinda eti inafanya sherehe yanajifanya hayaelewi yalicho fanya.
 
kuweni makini na hizo taarifa za kiintelijensia katika dakika za lala salama , zisije zikawa za kuwapoteza malengo kuwatoa off-guard maeneo mengine. ulinzi uwe kotekote
 
Tatizo la CCM hawajataka kujua kuwa wanajenga chuki ya kudumu na wakazi wa Arusha na kuwapotezea hata uwezekano wa kupata kura 2015
 
Kwa kuwa Mwigulu yuko huko hayo matukio hatushangai kwani siasa za kuua na kukata mapanga ndio za Mwigulu Nchemba. Pole Webiro
 
kibaka akiiba kisimu cha mchina anapigwa mawe hadi kufa! hao wanaoiba kura kwa nini tusiwapige mawe na kuvisha matairi shingoni na kisha kuwasha moto?!
 
Kwasasa anahutubia mwenyekiti wa madiwani..
 
Naona CCM wameichukia Tanzania na kuudharau utulivu na uvumilivu wa wananchi. CHADEMA msiwape hao wahalifu nafasi.
 
Ole millya anasimama...anasema imepita siku 30 za kampeni, anasema ameongea na vikundi mbalimbali na watu moja mmoja, anasemaMwingulu nchemba na nape leo wakiwa benki ya NMB wamezomewa sana...anasema watu wa Arusha wawepamoja kusherekeaushindi wa kata tano..anasema uchaguzi huu tuuchugulie kwa umhimu sana, tuendelee kuhamasisha watu hata walio hamia kutoka kata moja kwenda nyingine...isipotee hata kura mmoja
 
Back
Top Bottom