ulimbo lunopo
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 243
- 39
wanaangalia helkopta na kusikiliza maneno toka kwa kamanda!! Wa2 wanaskia kwa ku2mia maskio! RUDI STD 4 KAJIFUNZE MILANGO YA FAHAMU YA BINADAM
Habari tulizozipata muda huu kutoka kwa kamanda anaefanya kazi na CCM,kuna masanduku ya kura ambayo yameingizwa leo club africo.Chadema tuna sema kesho patachimbika ole wenu.
ccm ni hatari kuliko ukoma!Nipo hapa hospitali ya mkoa ya Mount Meru,makamanda wawili wa CHADEMA wameshushwa hapa wakiwa wameumia vibaya sana baada ya gari yao kuvamiwa na CCM eneo la Lemara,makamanda hao wameshushwa hapa na gari ya polisi baada ya kuokolewa,wapo hoi kweli.
Habari zinasema mwenyekiti wa CCM kata ya Lemara ndugu Betuel ndiye anayehusika.
Vipi yule mlemavu wa sura bado yupo Arusha?
View attachment 97708
mkutano unaendelee..mbowe bado haja fika watu ni wengi sana...
View attachment 97708
Mkutano unaendelee..Mbowe bado haja fika watu ni wengi sana...