asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,040
ahaa! ucheke una mbavu??
kesho mtatia akili matokeo yatakapotoka....................
hata kipindi kilichopita zilipofanyika chaguzi kwenye kata mlisema haya haya na matokeo yakawafanya mkafyata sasa mwasubiri yajirudie tena
unajivunia ushindi wa dhuluma?