Arusha Leo: Picha na dondoo za matukio mbalimbali

Arusha Leo: Picha na dondoo za matukio mbalimbali

Halmashauri ya Arusha inaongoza kwa wizi wa pesa za maendeleo kati ya halmashauri zote nchini kwa mujibu wa ripoti ya CAG.
 
MBOWE: Arusha ni kielelezo cha demokrasia nchini, na CHADEMA inajivunia sana msimamo wa wanaArusha.
 
Mabomu yanapigwa kuwaamuru watu waende kwenye mkutano wa CCM . Kule hamna pipoz kabisa
 
Nilijua tu.Sehemu yeyote ambayo Mwigulu anaweka kambi haiwezi kuisha bila vifo. ''Hongera'' Mwigulu
 
Ukweli mabadiliko yanakuja na hii rasimu CCM itabidi wawe macho hii dharau ya Nape na Mwigulu wakiiendekeza yatawakuta ya Kaunda wa Zambia! Jamaa hawa wanapaa kweli,maana mikoa ya Kusini CCM wahesabu maumivu! unless wafanye miujiza ya MUSA kule bahari ya shamu.
 
Back
Top Bottom