Arusha Leo: Picha na dondoo za matukio mbalimbali

Arusha Leo: Picha na dondoo za matukio mbalimbali

inawakimbiza vip? wenye chama wanahaha wewe mpiga debe inasifia! au ilimradi mkono uingie kimywani?

hivi wewe si bora mie mkono unaingia kinywani kuliko wewe ambaye unaachwa juani pangu pakavu??
viongozi wana kazi ya kula pesa sh mia mia za wanazokusanya kwenye mikutano kwa kisingizio cha M4C
 
hivi wewe si bora mie mkono unaingia kinywani kuliko wewe ambaye unaachwa juani pangu pakavu??
viongozi wana kazi ya kula pesa sh mia mia za wanazokusanya kwenye mikutano kwa kisingizio cha M4C
Nilitaka kukuonea kwa kukushangaa, kumbe maisha yako unategemea kwa kupiga propaganda ndipo ule, nyie ndio mnaotuangusha. mi simtumikia mtu yoyote, wala sina kadi, mimi ugomvi mkubwa ni wizi wa nchi hii, na ndiyo maana niko huru sana
 
mtoto halali na pesa,mtoto analala na mavi,tusikimbiane kesho jioni tukutane hapa hapa.mandevu upoooooo! Msalimie shem j.s

raha ni pale ambapo kura ni siri ya mpiga kura...............
Zote hizi ni kelele tu kama za wacheza ngumi lkn fainali ulingoni
 
nilitaka kukuonea kwa kukushangaa, kumbe maisha yako unategemea kwa kupiga propaganda ndipo ule, nyie ndio mnaotuangusha. Mi simtumikia mtu yoyote, wala sina kadi, mimi ugomvi mkubwa ni wizi wa nchi hii, na ndiyo maana niko huru sana

nani kasema anamtumikia mtu?? Fyi hizo ropaganda mnapiga nyie ila mimi nawaambia ukweli.
Vuta subira utajionea mwenyewe iyo kesho.

Ccm oyeeeeeeeeeeeeee, chadema zzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Makamanda nilikua mitaa ya kijenge kati asubuh ya leo nimeshuhudia msafara wa magari kama nane ya polis likiwemo lory lenye askar wa ccp pamja na gar la maj ya kuwasha na zima moto,nadhan yote hyo ni kuwatisha wana wa arusha ili waogope kwenye uchaguz wa kesho.
 
Mimi pamoja na makamanda wa hapa jijini Arusha tutakuwa tunawaletea updates za matukio mbalimbali za mikutano ya chadema itakayofanyika leo ikiwa ni yakufunga kampeni za chaguzi ndogo za kata tano (Themi, Kimandolu, Elerai, makuyuni,Kaloleni) na baadae kwenye mkutano mkuu utakaofanyika uwanja wa soweto jijini Arusha, Freeman Mbowe kamanda wa anga akiwa ndiyo msemaji mkuu wa kuwazika CCM.. Mungi, Arushaone, sweetlady na makamanda wengine maana naamini Arusha inamakamanda wengi sana kuliko hata makao makuu ya JF, ninaomaba ushirikiano wenu tutakuwa pamoja...
Crashwise wewe ni reporter mahiri sana
 
msafara ni mkubwa sana tunaelekea bwawa la mavi...
 
hahahahah! chadema bana,
kumbe Mbowe ni kamanda wa anga sio??.....................
ila CCM inawakimbiza sana

hahahaha itabidi na mimi ni cheke kwa upumbavu ulioandika eti ccm inawakimbiza sana labda vyama vingine ni sio chadema
 
dr obillo kutoka bunda amekatwakatwa mapanga na green guard,kwasasa yuko hospital ya mt. Meru...
 
amekatwa katwa akiwa themi shule ya msingi
 
gari lake limehalibiwa vibaya sana...
 
Back
Top Bottom