Daraja2
JF-Expert Member
- Jul 10, 2017
- 285
- 346
Felix Mrema na Mrisho Gambo ni wabunge walioacha alama kubwa sana "Arusha mjini" ambazo haziwezi kufutika kirahisi vichwani mwao (hasa kwa watumishi wa umma)
Nina Imani kubwa sana na ajaye anaweza kuivunja rekodi hiyo (Kama akiamua).
(1) Felix Mrema - alisaidia sana kutatua changamoto mbalimbali kipindi kigumu cha ujima (manual).
(2) Mrisho Gambo - kipindi cha usasa (udijitali)
Huyu ajaye ana kazi kubwa ya kuvunja rekodi hizi 2 zilizowekwa na miamba hii "Kama rejea"
"Kura ya kula" bado zinaendelea kuhesabiwa .................😂😁🤣 !!!
Nina Imani kubwa sana na ajaye anaweza kuivunja rekodi hiyo (Kama akiamua).
(1) Felix Mrema - alisaidia sana kutatua changamoto mbalimbali kipindi kigumu cha ujima (manual).
(2) Mrisho Gambo - kipindi cha usasa (udijitali)
Huyu ajaye ana kazi kubwa ya kuvunja rekodi hizi 2 zilizowekwa na miamba hii "Kama rejea"
"Kura ya kula" bado zinaendelea kuhesabiwa .................😂😁🤣 !!!