Arusha halisi ilivyo na watu wake

Arusha halisi ilivyo na watu wake

kama kila mtanzania angejivunia tanzania yetu kama huyu jamaa, kama kila mTanzania angejivunia bidhaa za Tanzania kama huyu jamaa leo tungekuwa mbali sana. TUONDOKANE na ULIMBUKEN wa kudhani vya wengine ndio Vizuri
Kwa uzi huu Mazee umenibamba aisee.
 
Kili Estate...... KiliGolf one among best 100 golf course in planet wengine wanaweza wasinielewe......

Mt+Meru_water.jpg


_31B3623.jpg


_31B3666.jpg



_B6A7167.jpg

Mi nakuelewa kaka,
 
Wengi wanajua hivyo kwakuwa hata mtalii wa ndani akitaka kwenda huko lazima facilities zote za kutalii kule azilipie na aanzie safari yake Arusha.. Ila Serengeti iko Mara lakini gateway ya kufika huko ni Arusha..
Naam,Safari nyingi sana za utalii kanda ya kaskazini na maeneo mengine zinaanzia Arusha,hata kwenda kupanda mlima kilimanjaro safari nyingi zinaanzia Arusha ilihali mlima uko kilimanjaro,kama ulivyosema Arusha ni lango kuu la mambo ya utalii.
 
Naam,Safari nyingi sana za utalii kanda ya kaskazini na maeneo mengine zinaanzia Arusha,hata kwenda kupanda mlima kilimanjaro safari nyingi zinaanzia Arusha ilihali mlima uko kilimanjaro,kama ulivyosema Arusha ni lango kuu la mambo ya utalii.

Si kweli kuhusu Mt. Kilimanjaro.. Mtalii anayepitia Arusha labda ni yule tu ambaye anaenda pia Mbugani... Ila anayekuja direct kupanda mlima anafikia KIA na kwenda Moshi direct.. Tours company ambazo zinapandisha sana watu mlimani ziko Moshi Mjini
 
Naona umefuta post yako uliyosema wapanda mlima wote lazima wapite Arusha... Si kweli, kampuni zinazoongoza kupandisha watalii Mlima ni Akhaste Tours na Keys Safaris ambazo makao makuu yake ni Moshi.. Mtalii anashuka KIA anaenda Moshi moja kwa moja

Inategemea. Hayo makampuni sio makubwa, kuna Wanaume wa Mlima Kama Zara...
 
Hizi mada za kuisifia arusha sijui zina lengo gani.
Ninyi vijana wa arusha hao wakenya wamewalemaza mawazo huko kijijini kwenu arusha mnaanza kuwaiga tabia zao za kibaguzi.
Hivi nikuulize mleta uzi hiyo mada itawasaidia nini watanzania wa mikoa mingine.
Mkumbuke kwamba mnavyozidi kujitekenya humu JF na kisha mnacheka wenyewe mjue watanzania wenye uelewa wanazidi kuwadharau.
Kuna msemo unaosema kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza huko kujitembeza kwenu mitandaoni kuisifia arusha ni kama mnautafutia bwana mkoa wa arusha.
Tulieni watu watakuja huko arusha na watawasifia hapa JF.
Nitarudi badae
We baki huko huko wala usirudi..

Arusha baby...
 
Arusha na yenyewe imeshakuwa ya wakuja maana wenyeji wa asili ni Wamasai na wameru,lakini leo hii warangi,wanyaturu,wachaga, wapare na wasambaa ni wa kumwaga, mimi naipendea hali ya hewa tu.
 
Sio wote wanaoenda kupanda mlima wanafikia KIA na kupada mlima, wapo wengi wanaofikia na na kuanzia safari za Arusha na
Si kweli kuhusu Mt. Kilimanjaro.. Mtalii anayepitia Arusha labda ni yule tu ambaye anaenda pia Mbugani... Ila anayekuja direct kupanda mlima anafikia KIA na kwenda Moshi direct.. Tours company ambazo zinapandisha sana watu mlimani ziko Moshi Mjini
wapo wengi tu, wanaanzia safari za mlimani wakitokea Arusha na sio watalii tu hata maporter na ma guide wanaoenda nao wapo machalii kibao wanatoka Arusha na kwenda kupandisha watalii mlimani .
 
Back
Top Bottom