mchome jr
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 599
- 748
Aisee si mchezobarabara ipo katika hatua za mwisho kabsa View attachment 554607View attachment 554608View attachment 554610View attachment 554611View attachment 554612View attachment 554613
Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani kama anajua anachokiandika, nenda nae taratibu ili afahamu jiografia ya nchi yake na utalii unavyofanyika.
Sidhani kama anajua anachokiandika, nenda nae taratibu ili afahamu jiografia ya nchi yake na utalii unavyofanyika.
Kweli, ndio mana naenda nae mdogo mdogo ataelewa tu Sure broWee ni muongo sana ,unasifia kwenu mpaka unapitiliza na vya wenzenu unafanya vya kwenu hapo namba 4 umeitaja mbuga ya serengeti kwamba ipo Arusha ni uongo, Serengeti haipo Arusha, Serengeti ipo mkoa wa Mara,sema tu watalii wengi hupenda kuanzia safari ya kwenda huko kwa kutokea Arusha.
Serengeti ipo mkoani mara ....na ndo kuvutio kikubwa kuliko kivutio chochote hapa tanzania ....nadhani umenisandaHatutaki ligi soma uelewe...amesema zipo ndani ama karibu na mji wa arusha sasa Serengeti inaangukia upande wa karibu na mji wa arusha
Sidhani umejibana kama unavyosema, check city ilivyo uniambie kama pangepatikana miti city centerArusha kiukweli Ni pazuri
Tatizo lake mjini pamejibana sana yaani kamji Ni kadogo mno
Sent using Jamii Forums mobile app
Serengeti ipo mara sawa ....kwani ukiipunguza hiyo moja kwwnye orodha yako haitaelewekaSoma vizur mkuu serengeti ipo karibu na Arusha
Kwa nini hawakupewa huo uhuru..???Kabla Nyerere hajaenda UN tayari Wameru kutoka Arusha walishaenda kudai uhuru wao!!
Hivi unajua hata neno tu Serengeti ni kimaasai hicho ikimaanisha infinity land, anyway soma geography ya Serengeti then utajua mwenyeweSerengeti ipo mara sawa ....kwani ukiipunguza hiyo moja kwwnye orodha yako haitaeleweka
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyerere alidai sovereignty huyu alidai uhuru wa kikundi cha watu especially uhuru wa kumiliki ardhi. Ardhi ndo ilkuwa tatizo kubwa hadi leo
Mkuu Arusha Ni padogo sana japo ni kuzuriSidhani umejibana kama unavyosema, check city ilivyo uniambie kama pangepatikana miti city center![]()
labda kujibana sifahamu maana yake lakini usingeona hiyo greenish kama pangetight kweli kweli![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa bishi sana ..ataki kukubali kuwa A town ni Geneva of Africa, achananaye afe na chuki zake binafsi.Hivi unajua hata neno tu Serengeti ni kimaasai hicho ikimaanisha infinity land, anyway soma geography ya Serengeti then utajua mwenyewe![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe hujui chochote kuhusu Arusha ..kwanza ujawahi hata fika chuga wewe .. unasema chuga padogo??? Hahah uuuwiiiMkuu Arusha Ni padogo sana japo ni kuzuri
Ni padogo tofauti na miji mingine mashuhuri hapa Tz...
Sent using Jamii Forums mobile app