Usibishane na mtu asiyeijua Arusha wakati huo Metropole ni metropole kweli.
Machalii wakitoka kipaimara pale St. Theresa na KKKT mjini kati wanazama metro.
Wakati Mererani ni mererani Kweli.
Just ask them, wakati wa mwaka 1957 Arusha ikiwa hivyo na hizo restaurant za kisasa...huko kwao nalinjilinji kulikuaje?
Wakati NEW ARUSHA HOTEL ya mwaka 1894 ikikimbiza E.A countries hadi leo hii huko kwao kulikuwa hata na Pub kweli.
Wakati tukiwa tunaangalia Sinema Leo tena kwa kuletewa programs shuleni...nina uhakika kuna mikoa hata TV walikuwa hawaijui completely.
Hebu tuacheni Utani Wakuu.