TUNDALI
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 440
- 231
kuna wakulima wanapiga hela kwa kilimo cha mboga unazo dharau Millions of Money na kwa mboga hizo hizo makampuni ya Kenya yana mashamba Tengeru na yanavuna na kusafirisha nje, Nilichogundua hapo Airport umefika leo na njiani ukaanza piga picha kama hizo, Tembea ndugu uone mengi sio kujifungia huko Nshupu.Aisee wewe ndio tatizo kwanza umesoma economy?
Nyanya hoho spinach Chinese carrot pilipili giligilan mchicha kidogo na tango vinaeza vikajenga mikoa kama arusha??
Huko vijijini kungekua New York
Go back to school buda
Sent using Jamii Forums mobile app