Arusha halisi ilivyo na watu wake

Arusha halisi ilivyo na watu wake

Aisee wewe ndio tatizo kwanza umesoma economy?

Nyanya hoho spinach Chinese carrot pilipili giligilan mchicha kidogo na tango vinaeza vikajenga mikoa kama arusha??

Huko vijijini kungekua New York

Go back to school buda

Sent using Jamii Forums mobile app
kuna wakulima wanapiga hela kwa kilimo cha mboga unazo dharau Millions of Money na kwa mboga hizo hizo makampuni ya Kenya yana mashamba Tengeru na yanavuna na kusafirisha nje, Nilichogundua hapo Airport umefika leo na njiani ukaanza piga picha kama hizo, Tembea ndugu uone mengi sio kujifungia huko Nshupu.
 
kuna wakulima wanapiga hela kwa kilimo cha mboga unazo dharau Millions of Money na kwa mboga hizo hizo makampuni ya Kenya yana mashamba Tengeru na yanavuna na kusafirisha nje, Nilichogundua hapo Airport umefika leo na njiani ukaanza piga picha kama hizo, Tembea ndugu uone mengi sio kujifungia huko Nshupu.
Tan flowers, world veggies, rizon, hizo companies sio za Kenya kama zinasafirishia JKIA haifanyi kuwa mali ya Kenya, labda angalau ungesema kilimo ungesound at least professional sio eti arusha inaendeshwa na tengeru, kilombero, soko kuu, morombo, kijenge hakuna mahali hakuna masoko sasa mbona pasifanane,?

Jiulize hicho kipato kinachowafanya waje sokoni kinatoka wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sehemu tulivu
dcfa2160def9823fe08536a75b1df6a6.jpg
16bfd1338c369c4d5765e2300c7b362d.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
Is this Arusha or Paris?

Damn...!
 
We arusha ulikuja juzi nini?
Unaongelea mawe hajachangia ukuaji wa Chugga?

We utakua umekuja arusha enzi ya tanzaniteone aisee embu usaidiwe kuoneshwa hizo magorofa karibia yote hapo town ni mawe imelala hapo chalii enzi hizo hakunaga mkoa wa manyara mbuguni ilikua ni arusha xlr na ndula moja refu tayari upo chumbani unatusua ulanga

Sent using Jamii Forums mobile app
Usibishane na mtu asiyeijua Arusha wakati huo Metropole ni metropole kweli.

Machalii wakitoka kipaimara pale St. Theresa na KKKT mjini kati wanazama metro.

Wakati Mererani ni mererani Kweli.

Just ask them, wakati wa mwaka 1957 Arusha ikiwa hivyo na hizo restaurant za kisasa...huko kwao nalinjilinji kulikuaje?

Wakati NEW ARUSHA HOTEL ya mwaka 1894 ikikimbiza E.A countries hadi leo hii huko kwao kulikuwa hata na Pub kweli.


Wakati tukiwa tunaangalia Sinema Leo tena kwa kuletewa programs shuleni...nina uhakika kuna mikoa hata TV walikuwa hawaijui completely.





Hebu tuacheni Utani Wakuu.
 
kwenye namba tisa hapo..katika kuchangia pato la taifa umedanganya mzee.....mkoa unaofuatia kwa kuchangia pato la Taifa ni Mwanza then Mbeya na mingine ila Arusha kwenye top 5 haipo..ila top 10 ipo....Rejea ripot ya banki kuu mwaka 2015 kuonesha mikoa inayochangia zaidi pato la Taifa

tourism inacontribute ngapi kwenye pato la taifa? tuanzie hapo
 
Nikusahihishe kidogo kipengele cha 5,
Hifadhi ya Serengeti iko Mkoani Mara. Pia Kuhusu Arusha 85% ya kina Mama ndio wajasiliamali, wafanyabiashara wanaoleta kipato kwa familia, kina Baba ni kulewa na Starehe.
Ukianza na masoko kama Soko kuu, kilombero, samunge, Kijenge na Masoko kama Tengeru, Maji ya chai Usa river na hata wachoma mahindi na wauza mbogamboga, wauza mitumba ni kina Mama walio wengi. Kina Mama hawa ni mfano wa kuigwa katika ustawi wa Familia pamoja na Nchi kwa ujumla.
Nikuulize kidogo,

Wakati hao wamama wa Arusha wakiwa ndio sababu za maendeleo huko, je mama zenu (wa mikoa yenu) wao wanafanya nini? Wanachora ina?

Acha hao wakina mama, Wanaume wa Arusha wakiwa wanalewa Je Wanaume wa mikoa yenu wasiolewa wao wanafanya nini wasipeleke maendeleo kwao mpaka waisubiri serikali?
 
Usibishane na mtu asiyeijua Arusha wakati huo Metropole ni metropole kweli.

Machalii wakitoka kipaimara pale St. Theresa na KKKT mjini kati wanazama metro.

Wakati Mererani ni mererani Kweli.

Just ask them, wakati wa mwaka 1957 Arusha ikiwa hivyo na hizo restaurant za kisasa...huko kwao nalinjilinji kulikuaje?

Wakati NEW ARUSHA HOTEL ya mwaka 1894 ikikimbiza E.A countries hadi leo hii huko kwao kulikuwa hata na Pub kweli.


Wakati tukiwa tunaangalia Sinema Leo tena kwa kuletewa programs shuleni...nina uhakika kuna mikoa hata TV walikuwa hawaijui completely.





Hebu tuacheni Utani Wakuu.
arif umenikumbusha longi kinyama ile pick up double kibin imeandikwa Cinema Leo ilikua patashika wakija skonga kivumbi cha kufa people

Dah enzi za hotel equator, sabasaba, New Arusha AICC kwenye bembea tunaingia kama kwenye vibanda umiza yan aisee life la kipindi ile lilikua tamu ballaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
arif umenikumbusha longi kinyama ile pick up double kibin imeandikwa Cinema Leo ilikua patashika wakija skonga kivumbi cha kufa people

Dah enzi za hotel equator, sabasaba, New Arusha AICC kwenye bembea tunaingia kama kwenye vibanda umiza yan aisee life la kipindi ile lilikua tamu ballaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi tumeanza panda zile lift za AICC tukiwa Primary tena wadogo miaka ya 90 mwanzoni.


Sasa Maajabu eti nikaja kusikia mwaka 2015 Ghorofa ya kwanza yenye lift yajengwa mkoani Mbeya.


Nilishangaa sana


Wabillah Tawfiq,
 
Sisi tumeanza panda zile lift za AICC tukiwa Primary tena wadogo miaka ya 90 mwanzoni.


Sasa Maajabu eti nikaja kusikia mwaka 2015 Ghorofa ya kwanza yenye lift yajengwa mkoani Mbeya.


Nilishangaa sana


Wabillah Tawfiq,
nimekaa mikoani, mzungu akipita kwanzia mzee mpaka nyokaa wanasimamisha shughuli zote wakati Chugga skonga ilikua kila week watasha wanakuja class zinashushwa mazawadi ya kufa mtu mavitu ya kiulayaulaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi tumeanza panda zile lift za AICC tukiwa Primary tena wadogo miaka ya 90 mwanzoni.


Sasa Maajabu eti nikaja kusikia mwaka 2015 Ghorofa ya kwanza yenye lift yajengwa mkoani Mbeya.


Nilishangaa sana


Wabillah Tawfiq,
Hahahahaha nimechekaaaa kweli umenikumbusha lift ya kwanza mby. Kimsingi wengi huku wanabisha tu lakini mioyoni mwao wanaujua ukweli.
 
Umesaahau kutaja Arushaa ndoo walikuwa mabingwa wa kunywa viroba na sasa hiv vimepigwa marufuku. Vijana Afya Imerud ARUSHA ndo mji wanawake wanafanya kazi kuliko wanaume. Alafu cha kushangaza Mwanaume akishaona ameoa Mwamamke jembe yeye huwaga anabweteka kazi yake no kushinda vilabuni tuu mwanamkee alete helaaa. Arushaa ni mara Chache utasikia mtu katembea na Mke wa mtu labda wale wajamaa wa Mawee.
 
Umesaahau kutaja Arushaa ndoo walikuwa mabingwa wa kunywa viroba na sasa hiv vimepigwa marufuku. Vijana Afya Imerud ARUSHA ndo mji wanawake wanafanya kazi kuliko wanaume. Alafu cha kushangaza Mwanaume akishaona ameoa Mwamamke jembe yeye huwaga anabweteka kazi yake no kushinda vilabuni tuu mwanamkee alete helaaa. Arushaa ni mara Chache utasikia mtu katembea na Mke wa mtu labda wale wajamaa wa Mawee.
Tatizo ni kwamba huko kwenu wanawake kazi yao ni umbea na kupaka ina sasa mnavyokuja arusha mnaona wanawake wanapiga kazi mnashangaa kumbe huku ni jambo la kawaida.

Kwenu mwanamke ukishamuoa ni kama unamiliki msukule huku wanawake na wanaume ngoma droo nyie wa mikoani ndio mnaona tofauti ila sisi tunaona kawaida sababu ndio lifestyle yetu haina kuremba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom