Kama hamjui Serengeti pia ipo Arusha pole, ni kwamba Serengeti ipo Arusha, Mara na Simiyu na kabla ya Serengeti mgeni anaanza na Arusha National Park yenye crater na kila aina ya wanyama, anakuja Lake Manyara National Park, Ngorongoro Conservation Area zote hizi zipo Arusha kisha anangia Serengeti,Subirini INTERNATIONAL AIRPORT ikamilike MWANZA kama ARUSHA mtaona mtalii hata mmoja
Dude kama EMARATES AIRLINE au BRITISH AIRWAYS ije direct MWANZA!!!
Hapo maumivu mtayaona kwasabb frm mwanza to serengeti ni Km 105
Frm ARUSHA to Serengeti Km zaidi ya mia3![]()
Kwani wewe unajihusisha na biashara ya ukahaba?Ndiyo mji pekee ambao watu wake wana roho mbaya sana na huwa hawajishauri kuua.
Ndiyo mji pekee ambao una majambazi wengi sana.
Ndiyo mji pekee wenye wanaume wasiojua mapenzi.
Ndiyo mji pekee wenye hoteli za levelbya kati ambao vyumba vyote vinanuka harufu sijui ya nini.
Duh na Selous au Ruaha ni ya ngapi?Mkuu punguza Povu
Hoteli zilizopo mwanza!!!anyway sikulaumu kwasbb ww ukisafiri saaana unaishia Makuyuni
Pato kubwa la mahoteli unayosifia ww inatokana na hao hao wataliii
Cha kushangaza unajijibu ati arusha haitegemei watalii izo hoteli na rest houses mtalala nyie au
THE BIGGEST NATIONAL PARK IN THE WORLD ni SERENGETI zama Google utaona hio creater manyara ni chachu na changamoto kuipa SERENGETI
Nakukumbusha kua MWANZA IS DA SECOND CITY IN TANZANIA
Hizi barabara huwa zinadumu miaka 25-20 halafu zinazidiwa.Barabara inaendea kukamilika mkuu....!View attachment 421303
Mkuu hiyo Road ipo viwango vya kimataifa ni njia nne na njia sita at the same timeHizi barabara huwa zinadumu miaka 25-20 halafu zinazidiwa.
I mean why not atleast Six lanes for at least 50years to come??
All in All Arusha ni mji mzuri aisee..
Tunaonewa sababu ya kuwa hiviHivi kwa nini watu wa kaskazini wanaonewa sana mara wanyimwe kuteuliwa kwenye nafasi serikalini mara wanyimwe miradi ya Maendeleo, mara wabaguzi, waache ni watanzania kama watanzania wengine kutoka kanda ya ziwa na nyanda za juu kusini na kati
Sent using Jamii Forums mobile app
ur too cheap to insult,,,,feed ur self first to stimulate ur brain before giving out ur nonsense explanations about the geniva of AfricaBora kunya ziwani utajitawaza kuliko nyie huko mnajifanya kuiga wazungunakufuga rasta hadi mavuzi rasta kisa eti mtalii anipende mnakua watumwa
Kisa dola 10 au20
Fanyeni kazi sio baada ya msimu wa utalii kuisha mnaweka vjiwe kwa mromboo nakuchangia figo ya mbuzi mtu tatu![]()
Daah pipo za chuga tunachukiwa sana aise. Sjajua ni kwanin aniBora kunya ziwani utajitawaza kuliko nyie huko mnajifanya kuiga wazungunakufuga rasta hadi mavuzi rasta kisa eti mtalii anipende mnakua watumwa
Kisa dola 10 au20
Fanyeni kazi sio baada ya msimu wa utalii kuisha mnaweka vjiwe kwa mromboo nakuchangia figo ya mbuzi mtu tatu![]()