Arusha halisi ilivyo na watu wake

Arusha halisi ilivyo na watu wake

Kama nimekosea utanisamehe sana ndugu yangu wewe ni jinsia gani kwanza nisije nikakulaumu kumbe wewe ni mdada wa kiswahili..Kama kweli wewe si mdada tena wa uswahilini nisamehe kwa hilo.
Wewe ulizaliwa na shemale? , kwani umeambiwa wadada hawana reasoning capacity.
Ubaguzi utawamaliza ninyi misukule ya arusha, mmekaa kunywa maviroba, mibangi, mirungi na mipombe ya mia mbili ya banana imeshawaharibu mmejaa ushabiki kama manyumbu huko kijijini arusha.
 
Viwanja vipo hadi milioni 5, pale njiro sababu ya ushamba wenu nakupenda kusifia ujinga ndio mana hamjui kitu.
Tunajua lengo la nyuzi zote zinazongumzia arusha ila mshamba kama wewe hauwezi jua chochote.
Halafu niandalie mboga inaitwa mnafu nasikia mnalima sana hapo kijijini arusha.
CHUGA a. k. a CHURA noma sana

Arusha walikupiga mitindo huru nini
 
Huyo ni wivu tu unamsumbua achaneni nae me nipo Mwanza lakini Arusha ni level nyingine na ninapapenda Arusha sana sababu naweza kujenga na kuishi vilevile na huo ubaguzi labda kauona yeye watu wa kaskazini wachapa kazi sana majungu na umbea hawana.

Na ninadhani ndio kitu walipotofautiana sababu huyu anaonekana ana majungu mno sijui ni wa kike?

I Tanzania wote wamoja.

Ndio kazi yake aliyopewa na ccm hiyo... Mpaga majungu wa ccm mbeya
 
Usisahau kuweka picha za mtaa wa Ungalimitedi mkuu ili watu wajionee maisha halisi ya watu wanaokaa hapo
 
We msukule wa arusha hauna lolote, kamkanye boss wako.
hao ndugu zako wa arusha ndio wanaleta ubaguzi, fatilia nyuzi mbalimbali hapa JF wanazoanzisha makusudi kwa kujiona wao ndio bora kuliko watu wa mikoa Tanzania.
Wanapanda kukuza ukanda na ukabila na ndio lengo langu kuingilia nyuzi zao na kuzivuruga na sitoacha hadi watakapoacha huo utoto wao wa ubaguzi.

Kuzaliwa porini kusikufanye uwe na hasira hivyo.. Hasira ni chama chako kutoswa kila kona ya Arusha
 
Umeshamaliza bangi yako?
Avatar yako tu inaonesha namna gani kichwani ulivyo mtupu, halafu eti ndio mnajiita wajanja wa kijijini arusha.
Nitaendelea kuchafua nyuzi zenu hadi mtapike nyongo na mamirungi mliobwia hapo kijijini arusha.
Hamna lolote hapo arusha mmekalia ubaguzi, ukanda na ukabila ni kama wachawi hivi hapo kijijini arusha msivopenda maendeleo ya mikoa mingine Tanzania.
Umeanzisha hii ishu, acha nimalize msukule wewe.

Hahahahaha biashara ya blog imekuchanganya kabisa mpaka unatoa mapovu hovyo.. Vipi umepata hata matangazo?? Au bado unasaka mwaka wa pili sasa.. Maisha yakikushinda haina haja ya kuchukia wengine.. Unauumiza moyo wako tu
 
Arusha walikupiga mitindo huru nini

Ndio kazi yake aliyopewa na ccm hiyo... Mpaga majungu wa ccm mbeya

Kuzaliwa porini kusikufanye uwe na hasira hivyo.. Hasira ni chama chako kutoswa kila kona ya Arusha

Hahahahaha biashara ya blog imekuchanganya kabisa mpaka unatoa mapovu hovyo.. Vipi umepata hata matangazo?? Au bado unasaka mwaka wa pili sasa.. Maisha yakikushinda haina haja ya kuchukia wengine.. Unauumiza moyo wako tu
Pumzi yako ndogo sana we msukule wa kijijini arusha, unataka nikuongezee mfadhaiko wa akili ulionao.
We ni msukule tu, kila siku uko bize hapa JF kupost vipicha vya guest house vya hapo kijijini arusha.
Kimji hicho cha arusha ni cha kawaida sana ila ushamba, ubaguzi, na ukabila ndio uliowadumaza ninyi misukule ya kijijini arusha.
 
Haahahahahahhahhaa!! Hapo umewashika pabaya

Ungalimii.. ngarenaro.. yaan ni shida tupu.. hasa zile mbavu za umbwa ukiziona ni huruma.
..aisee!!
tatizo wanataka kuufanya mji wao Arusha kuwa ni mzuri sana kuliko sehemu zingine... Tuma picha za hiyo mitaa na barabara zake pamoja na ile migomba!!
 
tatizo wanataka kuufanya mji wao Arusha kuwa ni mzuri sana kuliko sehemu zingine... Tuma picha za hiyo mitaa na barabara zake pamoja na ile migomba!!
Mliambiwa huu uzi hauna lengo la kuilinganisha arusha na mkoa wowote hizo ligi mmeanzisha wenyewe..!
 
Tunaoifahamu Tanzania nzima tupo kimyaaa.
Kwanini majadiliano yasiwe ya staha na uhalisia???????
 
Sawa, ila Hifadhi ya SERENGETI haipo mkoa wa Arusha,hifadhi hii ipo mkoa wa MARA.
 
Haahahahahahhahhaa!! Hapo umewashika pabaya

Ungalimii.. ngarenaro.. yaan ni shida tupu.. hasa zile mbavu za umbwa ukiziona ni huruma.
..aisee!!
At least wana vyoo sababu wengine wapo milimani wanatumia rambo kujisevia.
 
6c1b7cf5e14f2c4392f54796a020c8ba.jpg
17dfa24c99a5ea54bdf00505c117a4bf.gif
 
Back
Top Bottom