Clueless14
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 3,111
- 4,773
Ukikua utaacha kushabikia upumbavu
Nasema tena, HATERS GONNA HATE! We hater tu
Ukikua utaacha kushabikia upumbavu
Naona baada ya kupata rungu lako la kimasai sasa unajisugua kwa raha zako pasipo kusumbua watu humu.Hahahahhh..
mpk unacheka.. nadhani muda huu utakuwa unalikatikia rungu kwa raha zakoYani watu wa namna hii ndo wanaopandikiza ubaguzi.Hahahaaa hizo ndio zitu anapendaga amefurahi kinyama yan hahahaaaaa
eee baba etu ..wakilisha areefReal Estate in Arusha is next level jooh
![]()
![]()
cheeee ni longii laana...Arusha miaka ya 1950 mikoa mingine hata supermarket hawajaota.......
![]()
![]()
![]()
![]()
Mtanyooka tu nyie washamba wa kijijini arushaaah wapi we duanzi huwezi nyoosha mtu humu acha kujifurahisha, na unavyojisaidia hivi humu ndio unaona kuwa unanyoosha raia? hahahaha
Mtanyooka tu, nyie misukule wa arusha na Ushamba wenu. Mko porini huko kijijini arusha halafu mnatuletea hadithi za kitoto hapa JFWewe kweli huna akili sawasawa juzi ulikua bize unapost picha za Dar na Mwanza alafu anasema huna ubaguzi, kama ungekua na akili nzuri ungeweka picha za tz nzima ili uoneshe utaifa unaodai unao... alafu hao wakenya unaosema wamedominate Arusha ni kina nani hao? Ebu nitajie kampuni 10 zinazomilikiwa na wakenya unaowang'ang'ania kuwataja hapa kila post ***** uliyekosa soko wewe
We msukule wa arusha hauna lolote, kamkanye boss wako.Me sio wa kaskazini na ninakukanya acha kuhubiri ubaguzi hii ni mbegu mbaya sana unaipanda ujue hii ni platform kubwa sasa ukiulizwa umebaguliwaje unacho cha kusema nimeishi Arusha lakini sijauona huo ubaguzi kwani Arusha hawaishi wa makabila tofauti?
Ndugu zangu wameoa na kuolewa huko na huo ubaguzi sijauona nakukanya tena stop that nonsense hata Rwanda ilianza hivihivi kwenye platform kama hizi sio vizuri kabisa.
ITanzania wote wamoja.
Huko arusha ni kijijini tu, nyie misukule mliooza meno hamuwezi elewa chochote.Sasa nikupe homework wewe ngedere.. si umeona picha threader alizozionesha hapa kuelezea uzuri wa jiji la Arusha? je? unakubali ni kweli zinapatikana Arusha? sasa kama wewe ni mzalendo anza kutupia za tz nzima kutoa Dar na Mwanza maana juzi ulishatuonesha, sasa leo endelea na mikoa mingine, ukimaliza kuna swali nitakuuliza kutokana na statements zako eti ARUSHA NI KIJIJINI
SHIDA YAKO NI KUTUCHONGEA KWA MODS ILI THREAD HII IFUNGWE LAKINI HUTOWEZA HIVYO JARIBU NJIA NYINGINE KAMA UKABILA UNAUONA MWENYEWE JIONDOKEE!Mtanyooka tu, nyie misukule wa arusha na Ushamba wenu. Mko porini huko kijijini arusha halafu mnatuletea hadithi za kitoto hapa JF
Hujamwelewe huyu chalii wa A town kasema zipo ndani ama karibu na A townWee ni muongo sana ,unasifia kwenu mpaka unapitiliza na vya wenzenu unafanya vya kwenu hapo namba 4 umeitaja mbuga ya serengeti kwamba ipo Arusha ni uongo, Serengeti haipo Arusha, Serengeti ipo mkoa wa Mara,sema tu watalii wengi hupenda kuanzia safari ya kwenda huko kwa kutokea Arusha.
We msukule umerudi tena.Huyo jamaa ametoroka mirembe...arusha hapajawahi kuwa na ubaguzi...!
Unajipa moyo.Hapa umegusa penyewe.. hutamuona tena au akija atakuja kumwaga pofu kisado
Naona bado unahitaji kupakatwa eeh?Unajipa moyo.
Mtanyooka tu.
Hii hoja ungewaambia hao ndugu zako wa kijijini arusha ingeleta maana, ila kwangu haina maana kabisa.Huyu kijana anaweza kudhani ni something funny anasema lakini kina mathara makubwa sana hasa anapokitaja mara kwa mara wapo watu ambao hawajawahi kufika huko Arusha sasa wanapopata hii experience wanatengeneza picture fulani mbaya sana.
Nyerere alipinga sana ubaguzi na hili jambo aliliongelea kwa emphasis kubwa sana na alifanikiwa pakubwa Tanzania kuwa a good example ya non tribalism sasa lazima tukemee kwa herufi kubwa tunapoona mianya kama hii.
Nimeishi Arusha na kukaa na watu wa huko mpaka muda huu tumechanganya damu lakini sijaona hii tabia sio wao tu hii ni kwa makabila yote Tanzania hatuna ubaguzi kabisa wote tunaitana ndugu.
Kusifia mkoa wako sio mbaya tena nimeona wengine wanaosifia hapa Arusha ni wachagga na wapare ambao indigenously sio wenyeji wa Arusha.
Stop that unaehubiri ubaguzi.
Hamna lolote ninyi misukule ya kijijini arusha.Mkuu huyu ni hopeless nimeshamsoma atakua ana msongo wa mawazo, nilikua sijui kumbe mtu kusifia kwao ni dhambi, nadhani hiyo pia ingekua strategy nzuri kwani viongozi wetu wangeamka na kuhakikisha kila mkoa unakua na maendeleo, sasa huyu anatema tu pumba hana point zozote