Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 38,903
- 28,045
Huyu kichaa tuliamua kumpuuza. .Naona manyoka wa Arusha.. wame lala mbele.. kweli umewanyoosha.. duh!!![]()
![]()
Huyu kichaa tuliamua kumpuuza. .Naona manyoka wa Arusha.. wame lala mbele.. kweli umewanyoosha.. duh!!![]()
![]()
Usianzishe ligi iliyoisha,Huyu kichaa tuliamua kumpuuza. .
Yani niko na kichaa halafu unaniuliza kichaa anasifa gani...??Usianzishe ligi iliyoisha,
Kwa uelewa wako unajua kichaa ana sifa gani?
Umepotea njia
Hongera zakoYani niko na kichaa halafu unaniuliza kichaa anasifa gani...??
Amesahau pia ndo mji unaongoza kwa watu wenye roho za ukatili nahisi kwenye rekodi ya dunia wanaweza wakaingia kwenye toptenMkuu mbona mazingira na sifa za ngarenaro, unga limited na matejoo hujaziweka?
Duh kama zipi aise?Amesahau pia ndo mji unaongoza kwa watu wenye roho za ukatili nahisi kwenye rekodi ya dunia wanaweza wakaingia kwenye topten
Hiyo zamani sana saivi amani imetawala karibu.Kama kuchinjana visu kama kuku kwao ni kawaida
Duh hii thread kumbe bado ina trend....🙁🙁Hata wewe waweza kuziweka
Ni ngumu watu kukaa bila kuiongelea Arusha mtani..Duh hii thread kumbe bado ina trend....🙁🙁
Nani kachomwa kisu na kuchinjwa kwa kipindi hicho naomba link ya habari.Usinidanganye nlikua huko miaka mitatu
Nakubali mademu wa Arusha ni wakali, lakini hiyo picha nimeiona katika post ya wakenya mkuu,ingawa wakenya wanaweza kuwa wanatumia picha za warembo bongo kwani madada zao ni wabaya mno![]()
#YechuYechu![]()
![]()
![]()
Kili Estate...... KiliGolf one among best 100 golf course in planet wengine wanaweza wasinielewe......
![]()
![]()
![]()
![]()
Anasema eti nyuzi za kusifia mikoa zinachochea ukanda.. Lakini wiki iliyopita Mwanza walifungua wao wakisema wao ndio next after Dar na wakasifia miradi mbalimbali na fursa za mkoa wao kuendelea lakini huyu mpinga ukanda sikumwona akikemea.. Lakini nyuzi za Arusha lazima aje.. Sijui watu wa Arusha tumemfanya nini huyu jamaa