Arusha halisi ilivyo na watu wake

Arusha halisi ilivyo na watu wake

Hujamwelewe huyu chalii wa A town kasema zipo ndani ama karibu na A town

Nilishamwelewa alichomaanisha,lakini mimi nilikua nataka ataje vitu vilivyomo ndani ya mkoa wa Arusha tu,bila kutaja vivutio vilivyo jirani kama alivyotaja yeye japo amesema vipo karibuni au jirani,sawa lakini havipo ndani ya A City,kwa kua topic inahusu mkoa wa Arusha na uzuri wake,lakini tulishaeleweshana though.
 
Hivi kati ya wewe a sisi ni nani ni mbaguzi?
Nakumbuka kuna siku ulishawahi kuja kumwaga pia pumba zako hapa wenye hii thread isiyo kuhusuMatajiri,watoto wa mjini na wababe wa mkoa wa Kilimanjaro na Arusha
Ila wewe mwenyewe pia ulishawahi kuanzisha thread yako ya mbeya lakini hakuna mtu aliyekubuguzi wala kuongea vibaya thread yako..

Nb: huwezi kuuzungumzia ubaguzi au udini kama na wewe huna chembe chembe hizo za ubaguzi.

Your illiterate.
Msipoacha huo utoto wenu wa kibaguzi, kikanda na kujiona bora nitaendelea kuwapiga miba tu huko kjijini arusha.
Mtanyooka tu
 
Hii hoja ungewaambia hao ndugu zako wa kijijini arusha ingeleta maana, ila kwangu haina maana kabisa.
Huo ubaguzi wanaofanya kwa watanzania wa mikoa mingine na kujiona bora ndio ninachopinga hapa na ndio mana nazichafua nyuzi zao makusudi, na sitoacha kuzichafua nyuzi zao za namna hii.
We bwege tu uce elewa chochote A town wanakaa watu wote Africa huo ubaguzi upo wapi au wewe liccm nini maana mnadhani watu wakiichukia liccm lenu mnadhani ubaguzi toka huko limbukeni
 
Nilimuuliza huyo mwenzako hivi mume wako akiamua kukusifia kuwa wewe ni mrembo na unavutia alafu mimi ninune kwanini amekusifia, hivi kweli akili yangu itakua inafanya kazi sawasawa? Naomba nioneshe ukabila hapo
Mshamba kama wewe hauwezi jua kama kwenye huu uzi kuna ukabila, ukanda na ubaguzi, mana wewe ni nyumbu tu wa kijijini arusha uliyedandia treni kwa mbele.
Mtanyooka tu
 
Hamna lolote ninyi misukule ya kijijini arusha.
Ubaguzi utawamaliza huko kijijini arusha.
Kaka mi naona ni bora ukaachana na hao unaowaita misukule ili mambo mengine yaendelee,maana umeanza nao siku nyingi lakini bado hayajaisha,basi leo iwe mwisho ili tudumishe umoja wetu watz kwani haya mambo si ya kuyafanya serious hivi,sisi sote ni wamoja,hakuna wa kaskazni wala kusini wote ni wabongo.keep it kool
 
Huyu jamaa tokea kitambo namuonaga na post zake za ubaguzi juu ya watu waishio kaskazini.

Lakini cha ajabu thread za Mwanza, Mbeya au Dar zikiletwa humu hazizungumzii hovyo.. ila ngoja aone sasa thread inayozungumzia kaskazini.. atakuja huyo kiharisha vibayaa sanaa nashindwa kulielewa hili jitu ni la wapi
Sasa nafikiri tumeanza kuelewana, kila siku mnaanzisha vi uzi kuhusu arusha vyenye chembe za ukabila, ukanda na ubaguzi.
Sitoacha kuzichafua hizo nyuzi zenu zenye malengo hayo.
Nchi changa hii halafu mnatuletea story za kitoto kama hizo
 
Ni mpuuzi sana huyu mtu na wala hajui analoliongelea inaonekana ana chuki ya kweli na watu wa Arusha na hiyo ameionesha dhahiri, itakua hatari sana maana anaweza akaiapply chuki ata kwenye maisha ya kawaida pindi atakapokutana na watu wa kaskazini
Mtanyooka tu,
Msipoacha huo utoto sitowaacha huko kijijini arusha
 
Dah naona hii thread imekua kaa la moto sasa kaeni mkao wa kula nitakua naleta nondo aina hii mara kwa mara hamna raia ambaye amezuiwa kusifia mkoa anaoishi au anaoupenda haters kama vipi jilipueni lakini Arusha forever want it or not.
Wewe ndio bure kabisa, hivo vipicha vya guest house na makarakana ya hapo kijijini arusha unavyopost unaona bonge ya movie.
Hivi huko kungekuwa kama capetown, dubai n. k ingekuwaje?
Acheni ushamba ninyi misukule ya arusha.
Ubaguzi utawamaliza
 
SHIDA YAKO NI KUTUCHONGEA KWA MODS ILI THREAD HII IFUNGWE LAKINI HUTOWEZA HIVYO JARIBU NJIA NYINGINE KAMA UKABILA UNAUONA MWENYEWE JIONDOKEE!
Kuna vitu vingi vya kujadili hapa Tanzania, kila siku mnaanzisha vi uzi kuhusu kijijini arusha, vyenye chembe za kibaguzi na ukanda.
Huo ni ushamba na mnatakiwa kuacha.
 
We bwege tu uce elewa chochote A town wanakaa watu wote Africa huo ubaguzi upo wapi au wewe liccm nini maana mnadhani watu wakiichukia liccm lenu mnadhani ubaguzi toka huko limbukeni

Wapi wee una mawivu ako tu..huna lolote raru wewe.
Mtanyooka tu ninyi misukule.
Kijijini huko kuna nini hadi mtu aone wivu.
Watu wanafikiria maendeleo ya capetown, dubai, hongkong n. k ninyi mnatuletea hadithi za kitoto na kibaguzi na kakijiji kenu ka arusha.
Acheni ushamba huo.
Kimji cha arusha chenyewe kinaendeshwa kwa hisani halafu mnakuja kuleta story za kitoto hapa.
 
Mtanyooka tu ninyi misukule.
Kijijini huko kuna nini hadi mtu aone wivu.
Watu wanafikiria maendeleo ya capetown, dubai, hongkong n. k ninyi mnatuletea hadithi za kitoto na kibaguzi na kakijiji kenu ka arusha.
Acheni ushamba huo.
Kimji cha arusha chenyewe kinaendeshwa kwa hisani halafu mnakuja kuleta story za kitoto hapa.
mimi ni Bora zaidi yako!
 
Kaka mi naona ni bora ukaachana na hao unaowaita misukule ili mambo mengine yaendelee,maana umeanza nao siku nyingi lakini bado hayajaisha,basi leo iwe mwisho ili tudumishe umoja wetu watz kwani haya mambo si ya kuyafanya serious hivi,sisi sote ni wamoja,hakuna wa kaskazni wala kusini wote ni wabongo.keep it kool
Sina lengo baya mdau, hawa vijana wa arusha wanamambo ya ajabu sana, huwa wanajiona bora kuliko watu wa mikoa mingine tanzania na ndio lengo lao kuanzisha hizi nyuzi za kibaguzi na mimi huwa nazichafua makusudi.
Niwie radhi tu ndugu acha niwanyooshe.
 
Sina lengo baya mdau, hawa vijana wa arusha wanamambo ya ajabu sana, huwa wanajiona bora kuliko watu wa mikoa mingine tanzania na ndio lengo lao kuanzisha hizi nyuzi za kibaguzi na mimi huwa nazichafua makusudi.
Niwie radhi tu ndugu acha niwanyooshe.
mimi ni Bora zaidi yako!
 
Back
Top Bottom