Arusha halisi ilivyo na watu wake

Arusha halisi ilivyo na watu wake

Wadanganyeni masai huko porini arusha,
Nikweli arusha hauwezi pata kiwanja ukiwa na milion 50 ?
Na wakati ukiwa na milion 20 unapata kiwanja kizur hata kieneo cha njiro mnachoita uzunguni
hahaha wewe unacheza kweli njiro m20 upate kiwanja? miaka hii labda upate sehemu ya kaburi soro wewe alafu unajidai una zarau wakati roho inakuuma watu kusifia kwao? Kwani dhambi? hivi mfano mume wako akikusifia vile ni mrembo alafu mimi ninune nitakua nina akili nzuri kweli? Tuache sisi na jiji letu fara wewe
 
Mwaka 2015 Jiji la Arusha ndo lilikuwa Jiji safi kuliko yote Tanzania .....
 
Ok, tumekisikia..

Wafwate magasho wenzako huku hakuna nafasi na hyo jinsia yenu ya tatu

Ok, tumekisikia..

Wafwate magasho wenzako huku hakuna nafasi na hyo jinsia yenu ya tatu
Naona umeshachanganyikiwa mapema, dozi kwanza naanza.
Acheni ushamba ninyi vijana wa arusha.
Mna matatizo mengi huko kijijini arusha halafu, kila siku mnasimuliana story za kitoto tu humu JF kwa ubaguzi na ukanda
 
hahaha wewe unacheza kweli njiro m20 upate kiwanja? miaka hii labda upate sehemu ya kaburi soro wewe alafu unajidai una zarau wakati roho inakuuma watu kusifia kwao? Kwani dhambi? hivi mfano mume wako akikusifia vile ni mrembo alafu mimi ninune nitakua nina akili nzuri kweli? Tuache sisi na jiji letu fara wewe
Mmeshachanganyikiwa na wala hata kijiji cha arusha chenyewe hamkifaham vizur.
Nenda njiro kwa msola, nenda kule njiro veta mpya karibu na atomic unapata kiwanja hata million 10.
Acheni ushamba ninyi vijana wa arusha kwa kujikuza na story za kitoto.
 
hahaha wewe unacheza kweli njiro m20 upate kiwanja? miaka hii labda upate sehemu ya kaburi soro wewe alafu unajidai una zarau wakati roho inakuuma watu kusifia kwao? Kwani dhambi? hivi mfano mume wako akikusifia vile ni mrembo alafu mimi ninune nitakua nina akili nzuri kweli? Tuache sisi na jiji letu fara wewe

Hahahaaa me mwenyewe nimeshangaa njiro gani hiyo ila huyo soro ni abnormal anaonekana kabisa ana uchungu na kiungulia juu ya watu wa kaskazini hataki hata kuwasikia

na akiona Arusha inavyopaa anakufa juzi aliweka picture za Mwanza na Dar humu lakini hakuna mtu alimwambia kitu at the same thread and time mwenye uzi anaweka picture za Arusha jamaa anasema ubaguzi mtu mwenye akili ya kawaida this is abnormal kabisa jamaa ni mchicha mwiba ameshaadhirika na psychology.
 
Hahahaaa me mwenyewe nimeshangaa njiro gani hiyo ila huyo soro ni abnormal anaonekana kabisa ana uchungu na kiungulia juu ya watu wa kaskazini hataki hata kuwasikia

na akiona Arusha inavyopaa anakufa juzi aliweka picture za Mwanza na Dar humu lakini hakuna mtu alimwambia kitu at the same thread and time mwenye uzi anaweka picture za Arusha jamaa anasema ubaguzi mtu mwenye akili ya kawaida this is abnormal kabisa jamaa ni mchicha mwiba ameshaadhirika na psychology.
Ndio mana nawaita washamba ninyi vijana wa kijijini arusha, mnapenda ushabiki kama nyumbu na hata kijiji cha arusha chenyewe mnachokaa hamkifaham vizur.
Nenda njiro kwa msola, nenda njiro veta hadi atomic unapata kiwanja hadi milion 10.
 
Mmeshachanganyikiwa na wala hata kijiji cha arusha chenyewe hamkifaham vizur.
Nenda njiro kwa msola, nenda kule njiro veta mpya karibu na atomic unapata kiwanja hata million 10.
Acheni ushamba ninyi vijana wa arusha kwa kujikuza na story za kitoto.
Hicho cha M10 kakinunue alafu uniite nije nione sawa? Vp lakini mbona unachefukwa ukiskia neno ARUSHA itakua kuna kitu kinakufanya uwe hivyo si bure pole lakini huyo kid ukimleta kwa baba zake chuga analelewa tu bila shida huwa hatukatai zamu zetu

PROUDLY FROM CHUGA!!!!
 
Mmeshachanganyikiwa na wala hata kijiji cha arusha chenyewe hamkifaham vizur.
Nenda njiro kwa msola, nenda kule njiro veta mpya karibu na atomic unapata kiwanja hata million 10.
Acheni ushamba ninyi vijana wa arusha kwa kujikuza na story za kitoto.
Sio lazima usome nyuzi zinazohusu Arusha,utakufa kwa presha.
 
Hicho cha M10 kakinunue alafu uniite nije nione sawa? Vp lakini mbona unachefukwa ukiskia neno ARUSHA itakua kuna kitu kinakufanya uwe hivyo si bure pole lakini huyo kid ukimleta kwa baba zake chuga analelewa tu bila shida huwa hatukatai zamu zetu

PROUDLY FROM CHUGA!!!!
Viwanja vipo hadi milioni 5, pale njiro sababu ya ushamba wenu nakupenda kusifia ujinga ndio mana hamjui kitu.
Tunajua lengo la nyuzi zote zinazongumzia arusha ila mshamba kama wewe hauwezi jua chochote.
Halafu niandalie mboga inaitwa mnafu nasikia mnalima sana hapo kijijini arusha.
CHUGA a. k. a CHURA noma sana
 
Sio lazima usome nyuzi zinazohusu Arusha,utakufa kwa presha.
Unaifaham presha wewe ngariba kama jina lako lilivyo.
Mnakeketana hadi leo huko maporini arusha na mila zenu chafu za ukeketaji halafu mnaleta story zenu za kitoto za kibaguzi hapa JF.
Mtanyooka tu.
 
Viwanja vipo hadi milioni 5, pale njiro sababu ya ushamba wenu nakupenda kusifia ujinga ndio mana hamjui kitu.
Tunajua lengo la nyuzi zote zinazongumzia arusha ila mshamba kama wewe hauwezi jua chochote.
Halafu niandalie mboga inaitwa mnafu nasikia mnalima sana hapo kijijini arusha.
CHUGA a. k. a CHURA noma sana
Duh we dada adi unatia huruma, kisa umeskia huku kuna mabilionea ndio unajipitisha kila muda hahaha. Swali la kizushi hivi wewe umetokea mkoa gani naomba unijibu kwa uaminifu ili tuendelee mbele.
Mnafu upo mkuu tena usiombe uupate uliochanganywa na kuku wa kienyeji na ugali inakua fulu ile laana. Usisahau kunijibu mkoa ulikozaliwa mkuu wangu
 
Back
Top Bottom