REDEEMER.
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 8,918
- 14,894
Huyo ni wivu tu unamsumbua achaneni nae me nipo Mwanza lakini Arusha ni level nyingine na ninapapenda Arusha sana sababu naweza kujenga na kuishi vilevile na huo ubaguzi labda kauona yeye watu wa kaskazini wachapa kazi sana majungu na umbea hawana.
Na ninadhani ndio kitu walipotofautiana sababu huyu anaonekana ana majungu mno sijui ni wa kike?
I
Tanzania wote wamoja.
Na ninadhani ndio kitu walipotofautiana sababu huyu anaonekana ana majungu mno sijui ni wa kike?
I
Tanzania wote wamoja.