Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,308
- 16,489
kipindi baridi inaanza elimu kama hii ilipaswa kuenezwa mikoa yote yenye baridi kali.Aise , inasikitisha sana..Elimu muhimu
ila viongozi wetu kuanzia waziri mkuu, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, madiwani na watendaji hawana miongozo kulingana na maeneo waliyopo.