Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 18,549
- 21,676
kipindi baridi inaanza elimu kama hii ilipaswa kuenezwa mikoa yote yenye baridi kali.Aise , inasikitisha sana..Elimu muhimu
ila viongozi wetu kuanzia waziri mkuu, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, madiwani na watendaji hawana miongozo kulingana na maeneo waliyopo.