Arusha Baridi

kipindi baridi inaanza elimu kama hii ilipaswa kuenezwa mikoa yote yenye baridi kali.

ila viongozi wetu kuanzia waziri mkuu, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, madiwani na watendaji hawana miongozo kulingana na maeneo waliyopo.
Kweli mkuu, Perhaps wachache sana wanafahamu kuwa ni hatari kulala na jiko la mkaa cuz of less oxygen na carbon monoxide inayozalishwa ambayo mbaya sana kwa afya
 
Ile baridi Iko chuga hapana kwa kweli,siku mbili tu niliziona mwaka,huu mwaka imezidi.
Ni kurudi kwetu usukumani mbio mbio,hayo mateso ziiiii
 
Kwa wale wakazi wapya wa Arusha ambao hamjazoea hili baridi kama mimi mnaendeleaje? It is too cold here jamani mpaka I miss Dar.

Is there any lady here or gentleman that we can have some pretty dates even for coffee or outing tupeane company.
Njoo DM
 
Shida ya kukutana na hawa watu wanataka enda sehemu za starehe ..me nipo Arusha nimewasha mkaa Hapa huwa nawasha bila baada ya siku moja kajoto flani hivi amazing sana kwa mbali kuna ka flat na external ina movie za kucheba kwanzia msandawee anaetaka join aje
 
Ukiingia ndani kwenye post zake anataka iwe kama group hii kwangu hapana kubwa.
Group lolote jf halijawahi kuwaacha salama wana jf.
Mimi nikijikaza ntaonana na mmoja tu ili ikitokea vinginevyo najua mtu wa kudeal naye..sasa group utamnyooshea nani kidole.
Katika haya mambo unatakiwa kuwaza nje ya box
Kwa hio unaogopa kubakwa
 
Back
Top Bottom