Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,565
- 47,021
Hivi wewe jamaa kumbe upo arushaKama hata Uzunguni park hajaja basi tena babaa
Hivi wewe jamaa kumbe upo arushaKama hata Uzunguni park hajaja basi tena babaa
Jj mwenyewe ni habari nyingine anajua kila kilicho kizuri na wapi kinapatikanaNgoja mkuu nitakucheki pm unipe maelekezo vizuri nataka nimpeleke jj akale vitu bora na sio bora vitu, na machimbo ya kitimoto maana hiyo ndiyo balaa
Hahaha kulikoni mkuu😅Hivi wewe jamaa kumbe upo arusha
Arusha inapuliza kama AC, ila ya Njombe inachoma. Njombe hakufai narudia hakufai.Arusha imeenda sana labda 15°C, Njombe imefika 6°C, tuwaombeeni waliopo Njombe.
naona kabisaaaa, nilitaka tu nisikie ni nini umependaNimependa hicho alichosema anapenda kupata kampani ya kahawa kidogo , kwa kweli we si unaona hii hali ilivyo jj
😂😂😂Arusha inapuliza kama AC, ila ya Njombe inachoma. Njombe hakufai narudia hakufai.
Basi sawa jjnaona kabisaaaa, nilitaka tu nisikie ni nini umependa
teh teh
Anajifanya mgeni arushaJj mwenyewe ni habari nyingine anajua kila kilicho kizuri na wapi kinapatikana
Muongo😅Anajifanya mgeni arusha
Acha mambo yakoKama hata Uzunguni park hajaja basi tena babaa
Pole,tafuta shuka chapa mtu
HahhhaahPole,tafuta shuka chapa mtu
Aise , inasikitisha sana..Elimu muhimu