Wakati wao mpaka dakika hii wakijitafuta mwenzao Bingwa anaongoza chuma ya pili tayari 🤣.Sasa hapa mnashindania nini hapa
Kuna game tulipoteza kizembe. Wote tulikuwa bora msimu huu.We were good but city were good than us
Fulham na astonvilla ndo mlipozingua game zao zote home na awayKuna game tulipoteza kizembe. Wote tulikuwa bora msimu huu.
Na bado hamjasema,Mtasema sanaGame ya Aston Villa ilitucost.

