IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 3,384
- 4,294
Kabisa mlitaka kenge Odegaard apewe player of the season kwa lipi hasa kenge wakubwa nyie
We mpaka Madrid anakubali kukuuzia mchezaji? Hujiulizi.Kabisa mlitaka kenge Odegaard apewe player of the season kwa lipi hasa kenge wakubwa nyie
Hii comment nayo inatoka kwa mshabiki wa mpira.. Too infantileKabisa mlitaka kenge Odegaard apewe player of the season kwa lipi hasa kenge wakubwa
Sitaki kujua umeanza kushabikia mpira mwaka gani ila nina uhakika wa jambo mmoja tu, tukichukua shabiki yoyote yule wa Arsenal tukahesabu makombe aliyoyaona na kushabikia as arsenal fan bado hamzidi dogo aliyeanza kushabikia man city 2011 .Kule kwenye uzi wao kumejaa articles ndefu ndefuuuuu za kizungu za copy-paste za kina Manyanza na Grau, kuhusu Klopp kuondoka na Slot kuja. Hata hakuna anayezielewa. Wanaona bora waje huku watukere tu.
Kweli kabisa. Wamepiga hatua kubwa sana huku sisi wengine tumeharibu na kuzembea vibaya sana 😄😄Sitaki kujua umeanza kushabikia mpira mwaka gani ila nina uhakika wa jambo mmoja tu, tukichukua shabiki yoyote yule wa Arsenal tukahesabu makombe aliyoyaona na kushabikia as arsenal fan bado hamzidi dogo aliyeanza kushabikia man city 2011 .
Tufanye umeanza kushabikia mpira mwaka ambao wenger ndo anakabiziwa team 1995 tukihesabu makombe arsenal aliyochukua ya epl mpaka tunavyoongea saivi 2024 ni makombe 3 tu 😂😂😂
1997/1998 , 2001/2002, 2003/2004 .
Tuchukulie dogo alianza kushabikia man city 2011 ana makombe ambayo ameyaona as fan of man city makombe 7 kesho la nane 😂😂
Yote maisha. Tumepambana tukakosa. Tutapabana tena. Huenda tutapata.Arsenal mnamaliza bila taji lolote🤣🤣
Huwa unaongeaga fact sana we jamaa, respect!Sitaki kujua umeanza kushabikia mpira mwaka gani ila nina uhakika wa jambo mmoja tu, tukichukua shabiki yoyote yule wa Arsenal tukahesabu makombe aliyoyaona na kushabikia as arsenal fan bado hamzidi dogo aliyeanza kushabikia man city 2011 .
Tufanye umeanza kushabikia mpira mwaka ambao wenger ndo anakabiziwa team 1995 tukihesabu makombe arsenal aliyochukua ya epl mpaka tunavyoongea saivi 2024 ni makombe 3 tu 😂😂😂
1997/1998 , 2001/2002, 2003/2004 .
Tuchukulie dogo alianza kushabikia man city 2011 ana makombe ambayo ameyaona as fan of man city makombe 7 kesho la nane 😂😂
Ni lini nilisema tutabeba UEFA mkuu 🤠 🤠....usinilishe maneno shehe....ndoo ya EPL Emery katufanyia roho mbaya tu🤠🤠...ila fezi foo hii kitu tunanyakua...msimu ujao big six wte mjiandae kutuchangia points 6 maana tuna jambo letukila wisho wa msimu maneno yenu ni hayohayo tu mtajifunza kwa mistakes mlizofanya na mwakani kwenye fezi foo mtabeba ndoo, cha ajabu hizo fezi foo hua haziishi, kila msimu kwenu ni fezi foo na mbaya zaidi hua hata hamjifunzi kabisa kwa hizo mistakes mlizofanya msimu ulioisha
Mlinda geti kazi yangu humu ni kutembeza spana tu mpaka mjirekebishe na kuacha uzwazwa na false hopes za kijinga, tena umenikumbusha ngoja nianze kufukua makaburi maana ninazo quotes zako za kutosha humu ukiwadanganya misukule wenzako kua msimu huu lazima mtabeba Epl na Uefa
False hope as usualYote maisha. Tumepambana tukakosa. Tutapabana tena. Huenda tutapata.