Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,277
- 13,852
Ramsdale huyo
Huyu Ramsdale atatu cost ubingwa kwa ufala wake.
Tusiposhinda leo kwanza atatukanwa na fans hataamini and then sijui kama ataichezea tena ArsenalThat's what keeps him on the bench
Tulia we Castro Oil, golini pale yuko Rambo usijiaminishe ujinga.Friends of nyoko nyoko pumbavu
Ila sio wa kuwa kipa no.1. Unaona kabisa akipewa mpira jinsi anavyotetemeka.benchi linaozesha sana wachezaji.. ramsdale amekua na mchezo mzuri ila boko alilotoa limetia doa kidg.. bado naamini ni GK mzuri kubaki nae.
Hizi kauli kwa sasa big team kama Arsenal ambayo inapambania EPL trophy haitakiwi kutamkwa na Fans hujui ni jinsi gani ataicost team kama result itakuwa hivibenchi linaozesha sana wachezaji.. ramsdale amekua na mchezo mzuri ila boko alilotoa limetia doa kidg.. bado naamini ni GK mzuri kubaki nae.
Ila sio wa kuwa kipa no.1. Unaona kabisa akipewa mpira jinsi anavyotetemeka.
Kula pira bilian hapo, Brentford anakufa chuma 3 safiHii game AsaniNyau akishinda anajihakikishia kukaa nafasi ya pili kwa muda, ila kwa nnavyowajua hawa wazee wa false hopes game muhimu kama hii ataishia ku draw au anaweza kubondwa kabisa.
Wissa tayari ameshafungua mlango, kipindi cha pili Toney lazima afanye maangamizi.
zinapungua tena na kuwa 3?Kula pira bilian hapo, Brentford anakufa chuma 3 safi
Pattern ya makosa yake ni very costlyni wachezaji wachache mno ambao pamoja na kukaa sna benchi ila ukiwapa minutes wana perform.. kwa ramsdale sioni haja sana ya kuachana nae.. ni mtu tu akae nae.. ampe maneno mawili matatu ya kumjengea confidence.