Grau
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 4,790
- 4,678
zinapungua tena na kuwa 3?
Si tulikubaliana humu kuwa Brentford leo nae anapigwa kono la nyani?







zinapungua tena na kuwa 3?
Si tulikubaliana humu kuwa Brentford leo nae anapigwa kono la nyani?







Kwa dakika zilizo Baki tunatafuta points 3 muhimuzinapungua tena na kuwa 3?
Si tulikubaliana humu kuwa Brentford leo nae anapigwa kono la nyani?
Na ukileta mchezo unaachwa mapema sana maana Game ijayo unacheza na CitySiku ya kufa nyani miti yote uteleza
maisha yamekufanyeje wew kesho omba city asishinde maana akishinda na akaja kukufunga na wew game ijayo bai bai iyooo mzee tukutane next seasonHaya maisha aya..