Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ameokoa mochomo ya hatari sana leo
Hata msimu uliopita kaokoa michomo ya hatari.. Lakini ana utoto mwingi sana tena kwenye mechi ambazo ni Integral kwenye mbio za ubingwa. Kitu ambacho hakivumiliki hata kidogo kwenye timu yenye njaa ya mafanikio kama Arsenal kwa sasa... Hapana aisee, Arteta mwanzoni sikumuelewa lakini Jamaa kumbe yupo serious sana kwenye strategies kuliko ninavyodhani.. Na ninakubalina na Thierry Henry kwamba Ramsdale ni kipa wa kukupa Top 4 sio ubingwa.
 
Tembo karudi mtini kwenye nafasi yake.

Tunapumzika kama week 2/3, vijana watakuwa na nguvu za kutosha za kumkung'uta man city goli nyinginyingi.

Najua liver lazima adondoshe alama kwa manyumbu.

Ukiplus na matokeo ya kesho, aaah!! Ubingwa wetu
 
Kai kaimprove.

Ana makosa lakini haushtuki akiscore.

Ana namba, goals na assists, ambazo zinamuweka kwenye mazungumzo na ambao ligi inawaona ni elites.

Nakumbuka kipindi ambacho tulikua tunasema Arteta ampige benchi jamaa na kumuingiza kikosini polepole kabla hajampa namba ya kudumu.

Ilikua akimuanzisha nakuja predict errors na anazifanya kweli. Ila siku hizi siwezi, jamaa kaimprove, kuna goli aliscore nikasema linahitaji utulivu na confidence and am sure confidence ndiyo imechangi improvement ya Kai
 
Kai kaimprove.

Ana makosa lakini haushtuki akiscore.

Ana namba, goals na assists, ambazo zinamuweka kwenye mazungumzo na ambao ligi inawaona ni elites.

Nakumbuka kipindi ambacho tulikua tunasema Arteta ampige benchi jamaa na kumuingiza kikosini polepole kabla hajampa namba ya kudumu.

Ilikua akimuanzisha nakuja predict errors na anazifanya kweli. Ila siku hizi siwezi, jamaa kaimprove, kuna goli aliscore nikasema linahitaji utulivu na confidence and am sure confidence ndiyo imechangi improvement ya Kai
Kai kwa upande wangu anatoa performance ya 7/10, kuna vitu vidogovidogo napenda aimprove kama kushuti, passing (vertical/ penetration) ,unyumbulifu nk, nimrate 8/10 na kuendelea
 
Thats penalty
Nadhani rodri alipewa penalty kama ile
Man united vs Man city, first game nyumbu anakufa 3.https://youtu.be/U8PPkFS0Cbg?si=I12CTnbSOcmGLr8S

Anzia dk ya 2:10

City walipata penalty, ila sisi freshi tuu
 
Nafikiri ramsdale ukimhitaji aanzishe mashambulizi kadiri ya falsafa ya arteta mara nyingi lazima akuuze tu,ramsadale ni mzuri wa kubutuaaa mbele kama alivyocheza kipindi cha pili,mipira mingi amebutua tu na akaendeleza kuokokoa michomo
 
Umetufananisha. Sisi ni friends of Porto
Then pray for Porto
20240309_183731.jpg
 
Kusema ukwelli, we're vulnerable when Ramsdale starts between the sticks.
Angalia tukiwa nyuma na mpira namna tulivyoteseka leo, ni wazi unaona timu inakosa ile build up tuliyokua tukiitegemea.

Baadhi wanaweza sema Ramsdale ni shot stopper mzuri kuliko Raya, which is true, but football nowdays inamuhitaji GK afanye vitu vingi, na hapo ndio tunaona mapungufu ya Ramsdale.

Ni rahisi kumwambia Raya asogee nje ya boksi acheze kama extra CB, not to mention sweeping and distribution kuliko Rams, na hivi ndio vitu vinavyotupa quality msimu huu.

Leo turnovers zilikua nyingi kwetu kwa sababu Ramsdale alikua uncomfortable kuanza build up nyuma, matokeo yake akawa analazimika kucheza long balls, na ndio Brentford walivyokua wakitaka kwa sababu wanajua Rams is not good with the feet.

Rams ni backup GK mzuri, najua hawezi kubaki mwisho wa msimu kama ataendelea kukaa benchi.. Either way, tutaendelea kumsapoti.
 
A perfect start to 2024 continues for Arsenal!

Only three other sides have won their first eight matches of a calendar year, and they each went on to win the league that season...

👹 Man Utd in 2009
🔴 Liverpool in 2020
🔵 Man City in 2021
IMG_20240310_003235_919.jpg
 
A perfect start to 2024 continues for Arsenal!

Only three other sides have won their first eight matches of a calendar year, and they each went on to win the league that season...

👹 Man Utd in 2009
🔴 Liverpool in 2020
🔵 Man City in 2021View attachment 2929931
We need to win this league man, we have to
20230806_215627.jpg
 
Kusema ukwelli, we're vulnerable when Ramsdale starts between the sticks.
Angalia tukiwa nyuma na mpira namna tulivyoteseka leo, ni wazi unaona timu inakosa ile build up tuliyokua tukiitegemea.

Baadhi wanaweza sema Ramsdale ni shot stopper mzuri kuliko Raya, which is true, but football nowdays inamuhitaji GK afanye vitu vingi, na hapo ndio tunaona mapungufu ya Ramsdale.

Ni rahisi kumwambia Raya asogee nje ya boksi acheze kama extra CB, not to mention sweeping and distribution kuliko Rams, na hivi ndio vitu vinavyotupa quality msimu huu.

Leo turnovers zilikua nyingi kwetu kwa sababu Ramsdale alikua uncomfortable kuanza build up nyuma, matokeo yake akawa analazimika kucheza long balls, na ndio Brentford walivyokua wakitaka kwa sababu wanajua Rams is not good with the feet.

Rams ni backup GK mzuri, najua hawezi kubaki mwisho wa msimu kama ataendelea kukaa benchi.. Either way, tutaendelea kumsapoti.
Upo sahihi,Leo tumecheza mpira tofauti kabisa ,hatujampiga mpinzani ile Pini anakosa kupumua ,imetulazimu kupiga long balls kitu ambacho sio game yetu


Ukiwa na Raya anacheza kama CB, katikati ya Saliba na Magalhaes,na kufanya LB asogee juu kuongeza overload,ndio maana wapinzani Huwa hawapumui


Zile long balls za Rams ,zimezaa turnover zilizosababisha Brentford wapate shots kadhaa


Kipa anayepiga long balls yupo kwenye risk ya kushambuliwa kuliko anayetumia short pass


Wapinzani wametengeneza XG kubwa Leo kuliko mechi zilizopita

Kuna press Moja ,Arteta alimwambia mwandishi akatafiti kuhusu Raya ,

️ Arteta: "What I like about David Raya is what he does in goal - the things he prevents us from, you don’t even see because they don’t happen, because he has anticipated them".

"Courage, character and personality. I love him".
 
Back
Top Bottom