Yaano tukidroo ni kama tumefungwaWalikua wanasubiri tutoe droo wajazane humu.
Timu ipo standards za juu sana, maana haturuhusiwi hata tutoe sare, achilia kufungwa!
Ukimsikiliza Arteta anavyomuongelea Raya namna anavyoleta utulivu pale nyuma ndo utaelewa kwnn leo walikuwa kama hawajatulia kidogo...Ramsdale huwa kama ana wenge hivi...na hii inapelekea kusababisha makosa na kwa wengine then tunafungwa...yule Aondoke aisee hatumtaki🤠🤠🤠...Ameokoa mochomo ya hatari sana leo
Ni kweli, katusaidia kupata ushindi. Tungesuluhu ingekua jambo jengine.Ameokoa mochomo ya hatari sana leo
Wemekimbia wote😅Tusingeshinda nzi wangejaa hapa
Arsenal is on top of the Legue
zinapungua tena na kuwa 3?
Si tulikubaliana humu kuwa Brentford leo nae anapigwa kono la nyani?
Sawa. Haya chukueni points 3Tulia we Castro Oil, golini pale yuko Rambo usijiaminishe ujinga.
Mnahangaika sana majirani🤠🤠...mwenye nguvu ashinde kesho sisi tutakuwa pembeni na popcorn tunaangalia boluMumeshascreenshot msimamo? Kama bado basi kila shabiki wa Arsenal afanye kuscreenshot msimamo ili kesho muda kama huu awe anaangalia na kusema "Jana tuliongoza Ligi".