arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,357
- 4,402
Ukimsikiliza Arteta anavyomuongelea Raya namna anavyoleta utulivu pale nyuma ndo utaelewa kwnn leo walikuwa kama hawajatulia kidogo...Ramsdale huwa kama ana wenge hivi...na hii inapelekea kusababisha makosa na kwa wengine then tunafungwa...yule Aondoke aisee hatumtaki🤠🤠🤠...Ameokoa mochomo ya hatari sana leo
