Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ameokoa mochomo ya hatari sana leo
Ukimsikiliza Arteta anavyomuongelea Raya namna anavyoleta utulivu pale nyuma ndo utaelewa kwnn leo walikuwa kama hawajatulia kidogo...Ramsdale huwa kama ana wenge hivi...na hii inapelekea kusababisha makosa na kwa wengine then tunafungwa...yule Aondoke aisee hatumtaki🤠🤠🤠...
 
King Kai...60 million down the drain
20231125_232617.jpg
 
Mumeshascreenshot msimamo? Kama bado basi kila shabiki wa Arsenal afanye kuscreenshot msimamo ili kesho muda kama huu awe anaangalia na kusema "Jana tuliongoza Ligi".
Mnahangaika sana majirani🤠🤠...mwenye nguvu ashinde kesho sisi tutakuwa pembeni na popcorn tunaangalia bolu
 
Back
Top Bottom