NEGAN
JF-Expert Member
- May 12, 2023
- 652
- 1,447
Kai vipi alistahili kumaliza dakika 90?😂Msamaha watatuomba tu, huyu bruno tu, hapaswi kuwepo uwanjani mpaka muda huu
Kai vipi alistahili kumaliza dakika 90?😂Msamaha watatuomba tu, huyu bruno tu, hapaswi kuwepo uwanjani mpaka muda huu
Sababu nakukubali Acha YAISHE but Referees wa EPL wanaharibu sana Football ️Mkuu nakuomba sana...nyamaza tu shetani apite...huu ni mpira tu Haina haja ya kujichumia madhambi yasio na sababu kwa kutukanana na mtu ambaye hata hamjuani...kausha tu...siku itapita
Salama kabisa mkuu🤠🤠🤠....hii imeniuma kwlikwli ila acha tu tusubirie maneno ya shombo mseme weee...yatapita tu hayaMkuu salama lkn?
Familia wazima wote hapo?
Pole mkuu kwa msiba.
Nitaendelea kuwarudisha hapa ndugu zangu wa Arsenal. Arteta anatakiwa afundishe mid table teams.Arteta amenisikitisha sana kumsajili Kai Havertz. Hii inaonesha kwamba mpaka sasa hajafahamu mahali tatizo la Arsenal lilipo.
Paundi 65m kama angetulia na akaziongezea kwa kumuuza Balogun, Tavares na Nketiah angeweza kumleta pale Osimhen. Kai sijui amemleta kufanya nini.
Usajili wa Declan Rice na Timber ni mzuri na kwa sehemu utasaidia kuimarisha kiungo na ulinzi lakini still Arsenal inahitaji goalkeeper ambaye yupo serious.
Wachezaji wa kawaida kama Reiss Nelson, Fabio Vieira, Rob Holding, Cedric Soares, Nicolas Pepe na Sambi Lokonga wanatakiwa kuondolewa haraka.
Msimu ujao nategemea Arsenal itabakia kwenye top four lakini masuala ya ubingwa tuendelee kuyasahau.
Tatizo mashabiki wa Arsenal mnawaza ubingwa kwa mechi tano,mgejifunza tokea mwaka jana, Arsenal kumfunga Man City ilikuwa kama kapata ubingwa bikra imetolewa kuanzia jtano na Villa Sasahivi ni mwendo wakujipakulia 😂🤣🤣Haya matokeo hayakunisikitisha kwa sababu niliyategemea hata kabla ya mechi haijaanza
Mpira kama ulitoka wote ulie ssa hata sijui ilikuwajeSababu nakukubali Acha YAISHE but Referees wa EPL wanaharibu sana Football ️
Wanaharibu sana...KAI alitakiwa apewe straight red kwa rafu ile mbaya.Sababu nakukubali Acha YAISHE but Referees wa EPL wanaharibu sana Football ️
Yeah kabisa mkuu....utakuja kusikia tumeombwa msamaha na PGMOL sijui....yaani lile goli sielewielewi🤠🤠🤠...Bruno Guimaraes alikuwa anawatwanga kabisa mangumi uwanjani....yaani ni kama wiki nzima walikuwa Wana practice namna ya kutu bully tu🤠🤠🤠Sababu nakukubali Acha YAISHE but Referees wa EPL wanaharibu sana Football ️
Ndo mpr mkuu.Salama kabisa mkuu....hii imeniuma kwlikwli ila acha tu tusubirie maneno ya shombo mseme weee...yatapita tu haya
Tunahitaji forward tu...hii mechi Partey angekuwepo ingekuwa na wepesi kidogo... Georginho hawezi kupiga risk passes kabisa...yy ni mzee wa safe passes....alivyoingia Zinchenko ndo mipira ikawa mda wte mbele....kiukweli tuna safari ndefu ya kupambana na Man cityNdo mpr mkuu.
Nawasihii wakurugenzi humu hakuna haja ya matusi.. Tuongee utan tu.. Mpr unaleta hasira naelewa lkn tu control emotions zetu.
Yote kwa yote ningeshangaa sana kama leo hata mngepata draw yan kwa izi mido zenu za wauza ubuyu wakina Jorginho na Kai.. Sijui mnategemea mchukue kombe la maana na Nketiah .. Kuweni serious ndg zetu.
Kiukwl kuna maswal uwa nataman japo niongee na Arteta zoom meeting nimuulize.Tunahitaji forward tu...hii mechi Partey angekuwepo ingekuwa na wepesi kidogo... Georginho hawezi kupiga risk passes kabisa...yy ni mzee wa safe passes....alivyoingia Zinchenko ndo mipira ikawa mda wte mbele....kiukweli tuna safari ndefu ya kupambana na Man city
Ishatokea, kocha aangalie game zijazo tuMpira unatakiwa utoke wote, computer imeonyesha haukutoka wote; kosa nimeliona Gabriel kusukumwa na joelnton in the build up ya goli
Retired referee Callagher anasema Gabriel alifanyiwa faulu, but he is not sure kama mpira ulitoka nje wote